Jaslaws JF-Expert Member May 31, 2011 6,016 5,284 Aug 14, 2012 #21 Kuna watu walisoma kipindi cha migomo baridi ya waalimu,hata kutofautisha METHALI na MISEMO wanashndwa!!
Kuna watu walisoma kipindi cha migomo baridi ya waalimu,hata kutofautisha METHALI na MISEMO wanashndwa!!
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Aug 14, 2012 #22 nikifumba macho naona **** lako.
Kecha Boksi Member Nov 5, 2010 55 107 Aug 14, 2012 #24 Samaki mmoja akioza wote wameoza! Siku hizi kuna majokofu, kwa hiyo unamtoa yule aliyeoza wengine unawaweka kwenye jokofu.
Samaki mmoja akioza wote wameoza! Siku hizi kuna majokofu, kwa hiyo unamtoa yule aliyeoza wengine unawaweka kwenye jokofu.
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,207 Aug 15, 2012 #26 Duduwasha said: Navyokupenda afrodenzi Nitakununulia Treni Click to expand... hahahahahahhah Duduwasha vituko bado hujaacha tu ..:caked: Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Duduwasha said: Navyokupenda afrodenzi Nitakununulia Treni Click to expand... hahahahahahhah Duduwasha vituko bado hujaacha tu ..:caked:
Inno laka JF-Expert Member Mar 24, 2012 1,616 583 Aug 15, 2012 #28 Kila chenye mwanzo...' vingne havinaga mwisho
Matata255 Member Aug 1, 2012 78 9 Aug 15, 2012 #29 Haba na haba hujaza kibaba (vbaba vya sikuhizi havijai cjui vna leakage?)
M mgosiwakaya Member Aug 10, 2011 61 13 Aug 16, 2012 #30 ccm itatawala milele...ni miongoni mwa misemo iliyopitwa na wakati!