Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Chadema hakijaonyesha uwazi wa kujihusisha na tuhuma zinazotolewa na CCM kwamba wanafadhiliwa na chama cha Ujerumani, lakini leo tunashuhudia chama kinachofadhiliwa na vyama vya siasa vya Ujeruamni ni CCM na hata kualikwa kwenye mkutano mkuu wa chama cha SPD na kuhudhuriwa na katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama . Mwenendo huu na tuhuma za CCM zinachafua na kutifua zaidi vichwa vya watanzania. CCM ina wivu wa kupitiliza.