Nimeona kampuni, taasisi na asasi mbalimbali zikitoa misaada ya kiutu kwa wahanga mabomu Gongo la Mboto kwa staili ya kujitangaza na kujinadi zaidi. Nimeona pia WANASIASA wetu na wake zao wakiende kutembelea sehemu zilizoathirika na mabomu haya sanjari na wagonjwa waliolazwa mahospitalini kwa kujitangaza na kujinadi zaidi.
Nilidhani misaada pamoja na kuona wagonjwa lilikuwa halihitaji kuandamana na Televisheni na vyombo vingine vya habari. Nilitarajia hatua zitakazochukuliwa kuzuia majanga kama haya yasitokee tena ndizo tungearifiwa kwa kina. Tungefurahi zaidi kuona hatua zinazochukuliwa kama kuna uzembe, uvivu na kutojali kwa baadhi ya tuliowakabidhi majukumu haya.
Tunatumia majanga kama haya kujinufaisha kibiashara na kisiasa? Watanzania wapi tunakoelekea?
Nilidhani misaada pamoja na kuona wagonjwa lilikuwa halihitaji kuandamana na Televisheni na vyombo vingine vya habari. Nilitarajia hatua zitakazochukuliwa kuzuia majanga kama haya yasitokee tena ndizo tungearifiwa kwa kina. Tungefurahi zaidi kuona hatua zinazochukuliwa kama kuna uzembe, uvivu na kutojali kwa baadhi ya tuliowakabidhi majukumu haya.
Tunatumia majanga kama haya kujinufaisha kibiashara na kisiasa? Watanzania wapi tunakoelekea?