Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kuna kitu nimejaribu kukufanyia utafiti mdogo kwa ajili ya hoja yangu ambayo itaonesha kuwa tatizo la umeme Tanzania linahusiana na CCM hasa baada ya Rais Mwinyi, likaendelezwa na CCM chini ya Mkapa na sasa CCM chini ya Kikwete. Huwezi kuzungumzia tatizo la nishati hii nchini bila kugusa CCM. Hata hivyo, naomba mwenye kujua Rais Mwinyi alianzisha miradi gani mikubwa ya kuzalisha umeme akianticipate ukuaji wa uchumi?