Miradi mikubwa inayoendelea Kenya

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,748
48,371
Hapa sitalinganisha maana mumelialia sana na kulalamika, wakati mlianzisha wenyewe.

hapa naorodhesha miradi inayoendelea Kenya na hata iliyopangiwa.

Hii hapa barabara ya Outer Ring ambayo tayari ujenzi umeanza tena unakwenda kwa kasi

outer+px.jpg


images


7fd2d15324a00bd50e5e9fe0eb46b19d33b6bdf9d15364d84686c94f6964cca1


1216210.jpg


22688334581_637b5e63a7_b.jpg
 
Mradi wa reli ya SGR ambao pia unakwenda kasi. Miezi michache ijayo tutaanza kutumia kwa usafiri kutoka Mombasa hadi Nairobi.
reli yenyewe inategemewa kufikia Bujumbura na Juba, itakua muhimu sana kwetu sisi kuteka soko la DRC kwenda mbele.
Pia Tanzania kaskazini watanufaika pakubwa maana tayari wanatumia bandari yetu.


140106102352-kenya-rail-map-story-top.jpg


nQkGIRz.jpg


kenya-railways.jpg
 
Mmekosea
mgeweka kama ushindani
hapo naona mmetuzuia Watanzania tusianze kutiririka miradi yetu

Weka Tz vs Kny

Tukiweka kiushindani mnalia sana hadi mnafanya nihisi huruma, wakati nyie ndio mnaanzisha ushindani.
Hamna siku mtaweza kushindana na sisi kwa lolote, mpo mbali sana tena huko nyuma. Tulia tutiririke mambo ambayo yanatendeka huku ambayo yanafanya niipende nchi yangu kwa moyo wote.
 
Tukiweka kiushindani mnalia sana hadi mnafanya nihisi huruma, wakati nyie ndio mnaanzisha ushindani.
Hamna siku mtaweza kushindana na sisi kwa lolote, mpo mbali sana tena huko nyuma. Tulia tutiririke mambo ambayo yanatendeka huku ambayo yanafanya niipende nchi yangu kwa moyo wote.
Kama tunalia hebu fanya hivyo tulie zaidi
ili mfurahi
 
Vipi kuhusu deni la Taifa kujua kwa kasi!?

Deni lisikutie wasiwasi maana tulikopa sisi na tutalipa sisi, cha msingi ni kuhakikisha tunasimamisha miundo mbinu itakayotuweka kwenye level nyingine.
Tunapaa na kupepea, nyie hata mpewe madeni na fadhila na misaada hamna siku mtakaribia hata nyuma yetu.
 
Back
Top Bottom