only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
........Siku za karibu kumekuwa na mipasho inayoendelea kati ya viongozi wa ngazi za juu wa chama cha CCM(napata hata kichefuchefu napokitamka) na baadhi ya jumuiya zake kama ile ya UVCCM nk..Nimeanza kuwa na wasiwasi na hawa jamaa kama sio ni njia ya kututoa na kutupoteza watanzania kwenye mada za msingi kama Katiba,Malipo ya Dowans,Mikataba mibovu ya Madini,Umeme nk.Ukifatilia kwa makini zaidi utagundua kuwa magazeti mengi na vyombo vingine vya habari kwa takribani mwezi mmoja vimejaa hiyo mipasho...and even threads nyingi na post zetu wanaJF zimejaa hayo matukio....Je hii sio njia madhubuti ya kututoa kwenye mambo ya msingi?