Kwani walio na wachumba ni wa nini??mchumba wa nini?
wewe katavii mimi sitafuti mchumba bwana maana sina kazi naeKwani walio na wachumba ni wa nini??
Bila kuambiwa hivyo hamuelewi somo....
Hiyo njia inatumika sana kwa sababu inaonekana wanaume wanafanikiwa sana kuwapata wale wanaovutiwa nao..
Kuna mmoja nilimsikia katika daladala anaongea na binti kwa simu..........oooh naelekea eapoti hivi sasa naenda Uholanzi, kupitia J'berg, Dubai. baada ya wiki tatu unitafute nitakuwa nimerudi. Jamaa mwenyewe kapanda daladala ya Ubungo Kibamba, anaelekea kibamba usiku...
Rolls royce ya nini mpelekee ndege ya kukodi kabisa ebo???Sasa Rose mtu wangu kwa nini unapata shida na wavimba macho, hebu njoo huku kwangu nikupe raha. Naagiza Rolls Royce yangu ije kukuchukua sasa hivi.