Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Unashau kuwa tanesco kwa sasa inafanya miradi mikubwa kama minne yote ya uwekezaji mkubwa hivyo hsara hikwepeki ila ipo siku watanzania watajuta kumkosa muhongo kama Rais atakubali kutengua uteuzi wake.Nakubaliana na wewe kwamba he's the best....hata tanesco kwa sasa imetengeneza hasara mara tatu ya alivyoikuta.
Arrogance na brilliance kitu bili tofauti