Masha hana njaa ya hela kazaliwa kwao zipo, kusema ni kijana mh huo upara je si wautu uzima kweli! huyu ni mkomavu wa uongozi na anastahiki kuwepo alipo. Kwenye vikao vya madiwani hupenda kumwita wakili masha, ni mtu mkweli makini na mahiri.
Ushauri wangu kwake awaachie maPR kujibu hoja uchwara, yeye achape kazi tu, tunajua anakazi kubwa ya kuandaa vitambulisho vya kitaifa.
Ushauri wangu kwake awaachie maPR kujibu hoja uchwara, yeye achape kazi tu, tunajua anakazi kubwa ya kuandaa vitambulisho vya kitaifa.