......immma Wanasema Wao Huwa Wanaajiri Best Students Tuu...ningependa Kujua Vigezo Vya Kuwa Best Ni Vipi...je Havihusishi Matokeo Ya Darasani????....
Rizwani Alikuwa Na Simple Pass....haiwezekani Kuajiriwa Kwake Ni Kama Imma Wamekuwa Opportunist???..ikizingatiwa Mmoja Wa Partners Coicidence Imekuwa Kawa Jaji ...mwingine Waziri...na Still Pesa Ya Epa Ikapita Hapo...kupitia Deepgreen ..iliyodhaminiwa Na Immma..na Isitoshe Kampuni Imekufa Mara Baada Ya Uchaguzi.....
Kwa Maoni Yangu Ni Vigumu Muhashimiwa Rais Kujitenganisha Na Hii Kashfa.....ni Lazima ....hatua Zifuatazo Zichukuliwe Haraka ...
1]rizwani Ajiondoe Haraka Kama Mmoja Wa Waajiriwa Wa Immma...
2]jaji Ambaye Ameteuliwa Kutoka Immma Afikirie Upya Uteuzi Wake Kama Hauingilii Hautaadhiri Haki ...na Afikirie Kujivua Ujaji...[mkumbuke Anaweza Kuwa Jaji Mkuu Siku Moja Au Ikabidi Aamue Kesi Ya Ufisadi Itakuwaje..kuwepo Kwake High Court Kunaweza Kufanya Haki Isitendeke..ikizingatiwa Sasa Mafisadi Wanasakwa]
3]muhashimiwa Waziri Masha ..namkubali Kaama Kizazi Kipya Lakini Naona Naye Afikirie Upya Kama Kuwepo Kwake Pale Mambo Ya Ndani Hakutaadhiri Vita Dhidi Ya Mafisadi ..na Ikizingatia Moja Ya Kampuni Deep Green Ilidhaminiwa Na Immma Ambayo Yeye Ni Domant Director....rais Angeweza Kumpangia Kazi Nyingine...iwapo Itaonekana ....inafaa..
Yote Haya Yanafanyika Au Yafanyike Ili Kuokoa Jahazi La Urais[presidency]....kumbukeni Hata Kama Rais Ana Kosa ..hawezi Kushtakiwa Anayo Kinga....kuna Kikomo...cha Kumtuhumu Tu!!!
PM,
Kama nilivyoandika kule kwingine, maneno ya Masha ni kama hapa chini:
"Akifafanua jambo hilo,Bw. Masha alisema wakati akiwa Mkurugenzi wa Kampuni ya DGF inayousishwa na ufisadi huo, walikuwa na utaratibu wa kuchukua wanafunzi wa mazoezi katika fani ya sheria kila mwaka.
"Wanafunzi walioonekana wanafanya vizuri katika mazoezi kampuni ilikuwa ikiwaajiri watano kila mwaka, ambapo Bw. Ridhiwani ni miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri na kuajiriwa na kampuni hiyo,"alisema Bw. Masha."
"We receive interns every year as a reputable law firm�the important thing to us is a student's ability to work and deliver not prominence or personality,� he told a packed news conference yesterday.
He was explaining how the president's son got employment at IMMA, saying that the law firm has a tradition of accepting law student interns and Ridhwani Kikwete was among those interns for that year.
�After the internship period we normally evaluate the interns and those we find had performed quite highly, we give them employment. And that�s what happened with Ridhwani,� he stated. "
Anaongelea mazoezi na sio uwezo wa darasani pale UDSM. Hata lile tamko la IMMMA, hawajaongelea uwezo wa Ridhiwani darasani. Wasomi hao, walikaa chini kabla ya kuongea na kutafuta lugha ya kisheria kuhalalisha jambo.
Kuna kila dalili ya ufisadi kwenye hili suala, bahati mbaya kwa TZ wananchi tunafungwa magoli mengi kutokana na usanii wa viongozi wetu.