Minakians

Hhahaha....umenikumbusha mbali sana,....ile DCM ya Lady Nyambala Buguruni-Msanga bado ipo?...mngurumo wake ukifika kinyanyiko tayari watu wa mirambo washatambua ni mlio ghani....sitamsahau mzee mnoko Sogoi,mama Kiungai na mwalimu wangu wa physics Banoba!....dah namisi kichizi mihogo ya mama kinyogoli na tembele za mama nanihiii.....!dah...
banoba anakuja mwishoni kwenye practical na mikwara mingi . mhh ila sijui kama kuna mtu alipona na yale maji maana style ni moja muda wote mikono kunako .............................
 
aiseee nimekumbuka mihogo ya kukaanga pale bwaloni... ijumaa kama kawa saa sita mapeeema unadrop jijini

hivi fumbuka bado yupo?
 
aiseee nimekumbuka mihogo ya kukaanga pale bwaloni... ijumaa kama kawa saa sita mapeeema unadrop jijini

hivi fumbuka bado yupo?
mkuu duuh umenikumbuka haka kastyle kakuDROP kama nimetoa mhh ishukuriwe minaki jamani ila mi ilikuwa baada ya uji wa saa nne tu nduki kudandia mapindi kwa town mpaka jumapili jioni kwenye roll-call
 
Kulikuwa kuna bus inaitwa MSTAJABA.....Ukiisikia inapandisha MSITU WA PUGU jioni unajua usafiri wa kutoka Dar ndiyo umekwisha siku hiyo!!!! Those old good days
 
watu wa mirambo tuilikua makina na usafiri,alafu kinyogoi kwa matusi utafikiri alizaliwa usiku wa manane,banoba nae alitoa swali nakumbuka kutoka kwenye up then ajui jibu swali moja majibu5,ama kweli tumetoka mbali,mbishioe uone,mihogo ya mama kinyogoli c mchezo,alafu bweni fulani kwa wizi utafikiri kariakoo au ;osta
 
bibi nyambara enzi zake,alafu watu wa lumumba wanashukia kinyanyiko ukijisahau mama kiungai,sogoi kakudaka,mirambo ndo droping area enzi hizo
 
Back
Top Bottom