Minada ya hadhara

kwelakenya

Member
Jan 21, 2010
59
6
Hivi wadau,nimekuwa nikifikiria kuanza kununua bidhaa kama nyumba,viwanja,magari au pikipiki kwenye minada ya hadhara. Sasa najiuliza,italipa?Naweza kupata vitu kwa bei nafuu kwenye minada then nikaiuza na kupata faida?
 
Back
Top Bottom