Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Kwani dhaifu na legelege ni sawa?
Kiswahili kigumu sana.
ni sawa sema moja linapunguza ukali wa maneno
Kwani dhaifu na legelege ni sawa?
Kiswahili kigumu sana.
JK...the best presdent ever!
1. kiafya ni dhaifu kwani kuanguka kwenye majukwaa kwake ni kawaida na akivua viatu ana kurutu,
2. kama si dhaifu kwa nini EPA wanadunda mtaani, Radar pia wanadunda mtaani, mbona Richmond wanadunda mtaani, pia wawili kati ya mapacha watatu wanadunda mtaani kwa sana?
Ogopa sana, mtu akianza kujitetea "mm siyo shoga" ..ujue ni shoga huyo!!!
Spelling check
Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa yeye c rais dhaifu kama watu weng wanavyodai,na amesisitiza kuwa mara nying hufanya maamuz magumu,ila hufanya kwa manufaa ya nchi na si kwa ajili ya kusifiwa.
Sosi:NIPASHE
Ogopa sana, mtu akianza kujitetea "mm siyo shoga" ..ujue ni shoga huyo!!!
Mambo ya photoshop haya!!
yah maaaaan
mmmh sijamuelewa si dhaifu kwenye nyanja ipi, maana kama ni ile nyingine ile naskia yuko fit sana sana ila hizi nyingine mmmh ....hata hivyio hii issue imeanzaje
yah maaaaan