Naogopa kupigwa ban maana nilisha andika kitu kuhusu huyu mkweree nikaishia kula ban ya wiki tatu....
Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa yeye c rais dhaifu kama watu weng wanavyodai,na amesisitiza kuwa mara nying hufanya maamuz magumu,ila hufanya kwa manufaa ya nchi na si kwa ajili ya kusifiwa.
Sosi:NIPASHE
hana lolote,maamuzi yake mengi,anayafanya kwa kuangalia upepo wa kisiasa,na kutomuudhi yeyote.Na huyu JK ndio Rais kigeugeu kuliko binadamu wote duniani
JK...the best presdent ever!
1. kiafya ni dhaifu kwani kuanguka kwenye majukwaa kwake ni kawaida na akivua viatu ana kurutu,
2. kama si dhaifu kwa nini EPA wanadunda mtaani, Radar pia wanadunda mtaani, mbona Richmond wanadunda mtaani, pia wawili kati ya mapacha watatu wanadunda mtaani kwa sana?
JK...the best presdent ever!
JK...the best presdent ever!
1. kiafya ni dhaifu kwani kuanguka kwenye majukwaa kwake ni kawaida na akivua viatu ana kurutu,
2. kama si dhaifu kwa nini EPA wanadunda mtaani, Radar pia wanadunda mtaani, mbona Richmond wanadunda mtaani, pia wawili kati ya mapacha watatu wanadunda mtaani kwa sana?
Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa yeye c rais dhaifu kama watu weng wanavyodai,na amesisitiza kuwa mara nying hufanya maamuz magumu,ila hufanya kwa manufaa ya nchi na si kwa ajili ya kusifiwa.
Sosi:NIPASHE
Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa yeye c rais dhaifu kama watu weng wanavyodai,na amesisitiza kuwa mara nying hufanya maamuz magumu,ila hufanya kwa manufaa ya nchi na si kwa ajili ya kusifiwa.
Sosi:NIPASHE