MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Jamani Leo nimekuwa nikiwaza habari zote ninazozisikia kuhusiana na CUF, Vita kuu ni watu wa asili moja na nina Imani majirani HR, na SSH.
Mgogoro wa HR ni mabadiliko na uongozi safi, Tatizo za Maalim ni HR kutaka kufanya uhaini ndani ya Chama, na kinachoonekana hakuna suluhu itakayopatikana kwani Cuf washamtimua HR.
Sasa HR kuenda mahakamani akiwa na lengo la kutetewa na mahakama huku akiwa ameshatangaza kuanzisha Chama Chake na nakumbuka alihojiwa na BBC kama anataka kwenda Chama kingine na akihisiwa kuhamia CDM, Alikataa katu katu kuhamia chama kingine kwa kauli ya MIMI (YEYE) SI MALAYA WA VYAMA VYA KISIASA.
Swali hasa kwake, na kama mtu aliyekaribu naye akisoma hii mada yangu akamuulize, JE? KUANZISHA CHAMA CHAKO SI MALAYA WA KISIASA? Na kesi ipo mahakamani kudai haki uwe bado Mbunge kwa tiketi ya CUF na upo kwenye harakati za kuanzisha chama na unafanya wazi wazi.
Hii ina maana gani kwa watanzania wanakuokusikiliza??
Mgogoro wa HR ni mabadiliko na uongozi safi, Tatizo za Maalim ni HR kutaka kufanya uhaini ndani ya Chama, na kinachoonekana hakuna suluhu itakayopatikana kwani Cuf washamtimua HR.
Sasa HR kuenda mahakamani akiwa na lengo la kutetewa na mahakama huku akiwa ameshatangaza kuanzisha Chama Chake na nakumbuka alihojiwa na BBC kama anataka kwenda Chama kingine na akihisiwa kuhamia CDM, Alikataa katu katu kuhamia chama kingine kwa kauli ya MIMI (YEYE) SI MALAYA WA VYAMA VYA KISIASA.
Swali hasa kwake, na kama mtu aliyekaribu naye akisoma hii mada yangu akamuulize, JE? KUANZISHA CHAMA CHAKO SI MALAYA WA KISIASA? Na kesi ipo mahakamani kudai haki uwe bado Mbunge kwa tiketi ya CUF na upo kwenye harakati za kuanzisha chama na unafanya wazi wazi.
Hii ina maana gani kwa watanzania wanakuokusikiliza??