Makaimati
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 462
- 87
Mimi ni CUF mpaka kufa sasa
Posted on May 24, 2011 by zanzibaryetu
Mmoja wa wanachama wapya wa Chama Cha Wananchi (CUF) akionesha kadi yake baada ya kujiunga rasmi na chama hicho muda mfupi baada ya kufunguliwa tawi la chama hicho katika jimbo la Donge wiki hii, jimbo lenye upinzani mkubwa kwa vyama vyengine vya siasa. Mwanachama huyo ni miongoni mwa wanachama 105.jimbo la Mwakilishi wa muda mrefu Ali Juma Shamhuna ambalo limekuwa likilalmikiwa kwa muda mrefu kutoana na kuminywa demokrasia kwa kuwanyima fursa vyama vyengine kuendesha shughuli zake katika jimbo hilo. CCM ndio pekee waliokuwa wakiruhusiwa kufanya mikutano yake ndani ya jimbo hilo.
Posted on May 24, 2011 by zanzibaryetu
Mmoja wa wanachama wapya wa Chama Cha Wananchi (CUF) akionesha kadi yake baada ya kujiunga rasmi na chama hicho muda mfupi baada ya kufunguliwa tawi la chama hicho katika jimbo la Donge wiki hii, jimbo lenye upinzani mkubwa kwa vyama vyengine vya siasa. Mwanachama huyo ni miongoni mwa wanachama 105.jimbo la Mwakilishi wa muda mrefu Ali Juma Shamhuna ambalo limekuwa likilalmikiwa kwa muda mrefu kutoana na kuminywa demokrasia kwa kuwanyima fursa vyama vyengine kuendesha shughuli zake katika jimbo hilo. CCM ndio pekee waliokuwa wakiruhusiwa kufanya mikutano yake ndani ya jimbo hilo.