Mimi ni CUF mpaka kufa sasa

Makaimati

JF-Expert Member
Apr 4, 2011
462
87
Mimi ni CUF mpaka kufa sasa

Posted on May 24, 2011 by zanzibaryetu





Mmoja wa wanachama wapya wa Chama Cha Wananchi (CUF) akionesha kadi yake baada ya kujiunga rasmi na chama hicho muda mfupi baada ya kufunguliwa tawi la chama hicho katika jimbo la Donge wiki hii, jimbo lenye upinzani mkubwa kwa vyama vyengine vya siasa. Mwanachama huyo ni miongoni mwa wanachama 105.jimbo la Mwakilishi wa muda mrefu Ali Juma Shamhuna ambalo limekuwa likilalmikiwa kwa muda mrefu kutoana na kuminywa demokrasia kwa kuwanyima fursa vyama vyengine kuendesha shughuli zake katika jimbo hilo. CCM ndio pekee waliokuwa wakiruhusiwa kufanya mikutano yake ndani ya jimbo hilo.
 
Kama ametoka CCM akaenda CUF hakuna alichofanya.
Nisawa na kutoa kitu mfuko wa kulia wa suruali kuhamishia mfuko wa kushoto.
 
Mimi ni CUF mpaka kufa sasa

Posted on May 24, 2011 by zanzibaryetu





Mmoja wa wanachama wapya wa Chama Cha Wananchi (CUF) akionesha kadi yake baada ya kujiunga rasmi na chama hicho muda mfupi baada ya kufunguliwa tawi la chama hicho katika jimbo la Donge wiki hii, jimbo lenye upinzani mkubwa kwa vyama vyengine vya siasa. Mwanachama huyo ni miongoni mwa wanachama 105.jimbo la Mwakilishi wa muda mrefu Ali Juma Shamhuna ambalo limekuwa likilalmikiwa kwa muda mrefu kutoana na kuminywa demokrasia kwa kuwanyima fursa vyama vyengine kuendesha shughuli zake katika jimbo hilo. CCM ndio pekee waliokuwa wakiruhusiwa kufanya mikutano yake ndani ya jimbo hilo.

Sioni tofauti ya CUF na CCM!
 
CUF si lolote kwani ni CCM ileile, mala zote ungesema hata TLP au chama kingine, fanya hima kabla hujafa uhama huko:pound::pound::pound::pound:
 
Back
Top Bottom