Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
- Thread starter
- #81
usijali mkuu,Dena mke wa bro.
Ndio maana alinitolea nje!
usijali mkuu,Dena mke wa bro.
The Power of Love.......Halfu wewe!!!Ni sababu ya ule mkoa jirani na mu7 au?
Maana ulivomshupalia mwenzio avunje amri ya sita ni kama una Phd ya masuala hayo...
toba yarabi,what?Ndio maana alinitolea nje!
Sishangai wewe kumuogopa Bishanga, maana wanawake ndio zenu hizo. Unakuta unamuogopa mende au panya lakini unamchezea sharubu simba!
hahahahahahahahaha!!! kazi kweli kweli!
Kwani ni urongo?
kweli tena! namanisha!
Basi ngoja tumpige chini jamaa yangu Bishanga, nitaku-PM.
toba yarabi,what?
Unataka nini kwa huyo dada..?
hahahahaha! chezea Bishanga wewe, unataka anifanye kama alivyoandika hapo juu. ila kiukwel ni kama kafundisho fulani hivi, yaani mie wanaume wa watu hawanipati ng'o nshawajulia stle zao!
i love you Risa!hahahahaha! chezea Bishanga wewe, unataka anifanye kama alivyoandika hapo juu. ila kiukwel ni kama kafundisho fulani hivi, yaani mie wanaume wa watu hawanipati ng'o nshawajulia stle zao!
mmmmmhhhhhUnachong'akia ni kipi wakati nakuambia alinikataa?
NimeipendaSishangai wewe kumuogopa Bishanga, maana wanawake ndio zenu hizo. Unakuta unamuogopa mende au panya lakini unamchezea sharubu simba!
mmmmmhhhhh
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
i love you Risa!
he! he! he!