Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Wana jamvi wenzangu!
Leo niwe muwazi katika hili binafs nachukia na nakeleka sana na hoja yoyote ile inayotaja inayohusisha UDINI,kiuweli nisikiapo mtu anaongelea kwa wale wa dini fran,sisi dini frani, huwa napata wakati mgumu hata kama ni ofsni huwa nasingizia naumwa na kuondoka
Ni kweli nachukia ubaguzi wowote ule,uwe wa kikabila,kijinsia,kitabaka,kiuchumi,lakini nachukia sana mpaka huwa naaugua kichwa ninapo sikia hoja inayolenga kwa namna yoyote ile ki-dini SIPENDI KABISA.
Je wewe mwanajamvi mwenzangu hupendi ni katika swala la ubaguzi?
Leo niwe muwazi katika hili binafs nachukia na nakeleka sana na hoja yoyote ile inayotaja inayohusisha UDINI,kiuweli nisikiapo mtu anaongelea kwa wale wa dini fran,sisi dini frani, huwa napata wakati mgumu hata kama ni ofsni huwa nasingizia naumwa na kuondoka
Ni kweli nachukia ubaguzi wowote ule,uwe wa kikabila,kijinsia,kitabaka,kiuchumi,lakini nachukia sana mpaka huwa naaugua kichwa ninapo sikia hoja inayolenga kwa namna yoyote ile ki-dini SIPENDI KABISA.
Je wewe mwanajamvi mwenzangu hupendi ni katika swala la ubaguzi?