Mimi nachukia hoja za udini Je!wewe katika maisha unachukia hoja gani?

Ruhazwe JR

JF-Expert Member
Jan 31, 2011
3,403
920
Wana jamvi wenzangu!
Leo niwe muwazi katika hili binafs nachukia na nakeleka sana na hoja yoyote ile inayotaja inayohusisha UDINI,kiuweli nisikiapo mtu anaongelea kwa wale wa dini fran,sisi dini frani, huwa napata wakati mgumu hata kama ni ofsni huwa nasingizia naumwa na kuondoka
Ni kweli nachukia ubaguzi wowote ule,uwe wa kikabila,kijinsia,kitabaka,kiuchumi,lakini nachukia sana mpaka huwa naaugua kichwa ninapo sikia hoja inayolenga kwa namna yoyote ile ki-dini SIPENDI KABISA.
Je wewe mwanajamvi mwenzangu hupendi ni katika swala la ubaguzi?
 
Wana jamvi wenzangu!
Leo niwe muwazi katika hili binafs nachukia na nakeleka sana na hoja yoyote ile inayotaja inayohusisha UDINI,kiuweli nisikiapo mtu anaongelea kwa wale wa dini fran,sisi dini frani, huwa napata wakati mgumu hata kama ni ofsni huwa nasingizia naumwa na kuondoka
Ni kweli nachukia ubaguzi wowote ule,uwe wa kikabila,kijinsia,kitabaka,kiuchumi,lakini nachukia sana mpaka huwa naaugua kichwa ninapo sikia hoja inayolenga kwa namna yoyote ile ki-dini SIPENDI KABISA.
Je wewe mwanajamvi mwenzangu hupendi ni katika swala la ubaguzi?

Naunga mkono hoja.
 
Wana jamvi wenzangu!
Leo niwe muwazi katika hili binafs nachukia na nakeleka sana na hoja yoyote ile inayotaja inayohusisha UDINI,kiuweli nisikiapo mtu anaongelea kwa wale wa dini fran,sisi dini frani, huwa napata wakati mgumu hata kama ni ofsni huwa nasingizia naumwa na kuondoka
Ni kweli nachukia ubaguzi wowote ule,uwe wa kikabila,kijinsia,kitabaka,kiuchumi,lakini nachukia sana mpaka huwa naaugua kichwa ninapo sikia hoja inayolenga kwa namna yoyote ile ki-dini SIPENDI KABISA.
Je wewe mwanajamvi mwenzangu hupendi ni katika swala la ubaguzi?

.
Mie nachukia sana siasa hasa hizi za vyama vingi. Watu hujufungia ndani na kuweka mikakati ya kuchafuana na kufitiniana daima. Utadhani sii wa taifa moja. Yaani nachukia kweli.
.
 
Wana jamvi wenzangu!
Leo niwe muwazi katika hili binafs nachukia na nakeleka sana na hoja yoyote ile inayotaja inayohusisha UDINI,kiuweli nisikiapo mtu anaongelea kwa wale wa dini fran,sisi dini frani, huwa napata wakati mgumu hata kama ni ofsni huwa nasingizia naumwa na kuondoka
Ni kweli nachukia ubaguzi wowote ule,uwe wa kikabila,kijinsia,kitabaka,kiuchumi,lakini nachukia sana mpaka huwa naaugua kichwa ninapo sikia hoja inayolenga kwa namna yoyote ile ki-dini SIPENDI KABISA.
Je wewe mwanajamvi mwenzangu hupendi ni katika swala la ubaguzi?

mkuu hata mimi udini huwa unaniudhi saana,
na hii dhambi ukweli jk aliileta na inazidi kukua tuu!
hafanyi juhudi zakuipoteza.
 
Wana jamvi wenzangu!
Leo niwe muwazi katika hili binafs nachukia na nakeleka sana na hoja yoyote ile inayotaja inayohusisha UDINI,kiuweli nisikiapo mtu anaongelea kwa wale wa dini fran,sisi dini frani, huwa napata wakati mgumu hata kama ni ofsni huwa nasingizia naumwa na kuondoka
Ni kweli nachukia ubaguzi wowote ule,uwe wa kikabila,kijinsia,kitabaka,kiuchumi,lakini nachukia sana mpaka huwa naaugua kichwa ninapo sikia hoja inayolenga kwa namna yoyote ile ki-dini SIPENDI KABISA.
Je wewe mwanajamvi mwenzangu hupendi ni katika swala la ubaguzi?
Mie nachukia watu wanafiki kama wewe ambao hutafuta visingizio kukwepa ukweli !
 
udini na ukabila..ka sa hivi unasikia ccm inasema Rais ajayo hawezi kutoka kaskazini..uo ni ukabila ambao ni sawa na udini ni ajabu kwa viongozi wa nchi kuongea maneno kama hayo
 
Nachukia Vyeo vya mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya!!! Ni ukoloni, mtawala anatoka Mwanza anatawala Kigomaa.....
 
.
Mie nachukia sana siasa hasa hizi za vyama vingi. Watu hujufungia ndani na kuweka mikakati ya kuchafuana na kufitiniana daima. Utadhani sii wa taifa moja. Yaani nachukia kweli.
.


Usiwe mwoga wa vyama vingi. Bila vyama vingi CCM ingeendelea kukubagua wewe pamoja na raia wengine wasio nacho. Vyama vingi ndo ufunguo wa maisha. Wewe jiulize, toka tumepata uhuru mpaka leo hii tunatawaliwa na chama kile kile (TANU, CCM) lakini cha maana walichikifanya hakuna zaidi ya kutukandamiza. Kama unasema hupendi siasa ni sawa maana siasa ni unafiki mtupu. Ni bora kusoma na kujifanyia kazi zako lakini usiwe mwana siasa full time. Popote duniani, wana siasa ni watu wa majungu, they are NOT trustworthy as they can change any time kama unavyobadirika upepo. Je, umeshawahi kuona mwana siasa yeyote yule msema kweli? Kwa nchi zilizoendelea, wana siasa wanafikiria namna gani wammalize adui yao kwa kumuanika hadharani mapungufu yake na maovu ya familia yake (kama yana exist) ili aonekane wa hovyo na jamii imcheke. Kwa kina sie, tunauana kwa kurogana ili fulani ashinde uchaguzi na kuua compettition all together. Usiporoga wewe, jua kabisa wenzako watakumaliza hapa kwetu. Hakuna kiongozi ama mwana siasa asiyeroga hapa Tanzania huo ni uongo. We kuroga aroge mjumbe wa mtaa ama mwenyekiti wa mtaa ili apate ruzuku sembuse mawaziri? Usiamini serikali kusema kwamba hawaamini uchawi, ile ni danganya toto tu. Hakuna watu wanafiki kama viongozi wa serikali hapa Tanzania (na dunia nzima). Kiujumla, ubaguzi wa aina yeyote ni mbaya na hakuna wa afadhali kwani ubaguzi ni ubaguzi tu.
 
Back
Top Bottom