Mpeleke kwa Lizzy akapumzike...lol..ila Lizzy anaweza kumtoa ndukii bora ubakie nae..lolPuzzle yangu na enjo kwa sasa moja ni kubwa nyingine ni ndogo
kwa sababu kaniudhi jana usiku ..
Sisi siri zetu tunazitunza ndani kwa ndani hazitoki nje...lolyaan kama Lizzy atasema wewe unamadudu basi nimbadilishie wa kwangu (Rejao) kwa robo siku kama hata iona 2012 chungu
Aika Mae...lolHehehehe UNALO!!!
Ummmmh. . . namba 7!!
Mpeleke kwa Lizzy akapumzike...lol..ila Lizzy anaweza kumtoa ndukii bora ubakie nae..lol
:cheer2::cheer2: aisee mpakie na vitu vyake kabisa i'm waiting..not only to stay for a week but for a year..The Finest naomba umchukue Enjo kwa wiki moja tu...
Bwoiii. So how about we cross him off the list.Number 7 za pembeni zote zime fit vizuri sana,
tulivyoanza kuingia ndani zikaanza kugoma..
za katikati staki hata kufikiria, maana kama hizo
zingine zimeanza kugoma dahhhhh..
:cheer2::cheer2: aisee mpakie na vitu vyake kabisa i'm waiting..not only to stay for a week but for a year..
Bwoiii. So how about we cross him off the list.
Alafu tumueke yule Rais wa kukosea maswali. . . lolzz
Wala hakuna shida...lolhahahahah
you have to provide food for her..
i better warn you now . She eats a lot.
Hahahaha. . . usimfanyie hivyo bana!!Mshkaji kajitoa, MPE NAFASI.
Wala hakuna shida...lol
Hahahahaha Carlifonia. Riiiiiiiight. . . . . .
Lol....halafu mbona sasa haujaingia kule kijiweni kwetu..hahahahahah usimruhusu tu chumbani kwako...
Muulize Lizzy Enjo alifanya nini kitandani kwangu jana..
(PM)hahaahah lol