Mimi na wewe...

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,692
58,749
Leo asubuhi nilikua nafikiria kitu nikajikuta naangalia mahusiano na ndoa kwa namna ambayo sikuwahi kabla. Mimi na wewe ni kama vipande vya puzzle ....you've got your share and I have got mine.Ukiviweka pamoja either unapata picha/umbo kamili ama hupati.

images
kila mmoja ana shape na size tofauti.Inapotokea wewe kama puzzle umemchagua mtu ambae yeye kama puzzle hana shape zinazoendana na vipande ulivyonavyo ndipo matatizo na migongano inapoanza.Utajitahidi kunoa na kuongeza zile sehemu zisizofit vizuri kwako au kwake ila mwishoni unashangaa pamoja na jitihada zako zile sehemu zinapwaya na ukiendelea kulazimisha zinavunjika na kuvunjika.

So jambo la muhimu hapa ni kutafuta vile vipande ambavyo vinaendana na vyako_One that is complementary to yours....one that accomodates your needs.
images

Linapokuja swala la ndoa ndo kabisa umakini wa hali ya juu unahitajika.Hapa kinachofanyika ni kuvishikanisha vipande vyako na vya mwenzako kwa glue.Hata kama haviendani at first havitakua na jeuri juu ya glue....ila baada ya muda utashangaa huku kunameguka...na vikianguka tu vinavunjika vunjika.Ila kama vitakua vinaendana ni rahisi kustahimili mitikisiko na mianguko.Hata sehemu ikimeguka ni rahisi kuirudishia.Kwahiyo kuweni waangalifu....usichukue tu vipande ni vipande...
images
....bali tafuta vile vinavyokufaa!!

Mchana mwema!!
 
Aika mae sema wakati mwingine hivi vipande kabla ya kufungiwa huwa vinaonekana kuganda pamoja,lakini vikifungiwa tu huwa sielewi labda joto la chumba huyeyusha gundi iliyopo.
 
Its true its all about compatibility......

Na ni vema ujaribu kubadilisha piece yako ya puzzle (yaani wewe) kuliko hujaribu kumbadilisha yeye (au kujipa moyo kwamba atabadilika..)

A Zebra Can Never Change Its Stripes.....,
 
Lizzy Mdogo wangu,

Hii dunia ingekuwa na huruma kidogo tu labda tungekuwa tunaweza kutabiri mazuri au mabaya yanayotusubiri mbele yetu.

Kuna watu vipande vinakuwa na perfect fit utadhani vilitegenezwa baada ya kuwa vimepimwa tena kwa special order...Ila huwezi kuamini kwamba vinashindwa kuhimili mitikisiko na kuvunjika vunjika kabla ya kufika nyumbani. Na kuna vingine ni so irregular kiasi kwamba hata kuvilazimisha vigundishwe inakuwa nje ya uwezo wetu wa kufiriki..Ila mtu unashangaa jinsi miujiza inavyojitokeza na kuvifanya viishe pamoja utadhani nilikuwa pacha toka day zero.

Maisha yaachwe tu yawe hivyo kwani hata kinyonga ana nafuu!
 
Lizzy mie kama chauro alicosema pande langu lilifiti vizuri sana nafikiri ile elninyo iliyoleta mafuriko ilipanuka ikawa hafiti nikawahi kulikausha na jua, usemavyo ni kweli, kabisa ila sijui ninnini huwa kinakuja kutokea
 
Lizzy Mdogo wangu,

Hii dunia ingekuwa na huruma kidogo tu labda tungekuwa tunaweza kutabiri mazuri au mabaya yanayotusubiri mbele yetu.

Kuna watu vipande vinakuwa na perfect fit utadhani vilitegenezwa baada ya kuwa vimepimwa tena kwa special order...Ila huwezi kuamini kwamba vinashindwa kuhimili mitikisiko na kuvunjika vunjika kabla ya kufika nyumbani. Na kuna vingine ni so irregular kiasi kwamba hata kuvilazimisha vigundishwe inakuwa nje ya uwezo wetu wa kufiriki..Ila mtu unashangaa jinsi miujiza inavyojitokeza na kuvifanya viishe pamoja utadhani nilikuwa pacha toka day zero.

Maisha yaachwe tu yawe hivyo kwani hata kinyonga ana nafuu!
Unavyodhani NDIVYO - SIVYO. (Rejea wimbo wa Profesa J) Uko sawa ndugu yangu.
 
Lizzy Mdogo wangu,

Hii dunia ingekuwa na huruma kidogo tu labda tungekuwa tunaweza kutabiri mazuri au mabaya yanayotusubiri mbele yetu.

Kuna watu vipande vinakuwa na perfect fit utadhani vilitegenezwa baada ya kuwa vimepimwa tena kwa special order...Ila huwezi kuamini kwamba vinashindwa kuhimili mitikisiko na kuvunjika vunjika kabla ya kufika nyumbani. Na kuna vingine ni so irregular kiasi kwamba hata kuvilazimisha vigundishwe inakuwa nje ya uwezo wetu wa kufiriki..Ila mtu unashangaa jinsi miujiza inavyojitokeza na kuvifanya viishe pamoja utadhani nilikuwa pacha toka day zero.

Maisha yaachwe tu yawe hivyo kwani hata kinyonga ana nafuu!

Unavyodhani NDIVYO - SIVYO. (Rejea wimbo wa Profesa J) Uko sawa ndugu yangu.

Ni kweli kuna wakati miracles happen na watu hubadilika.., lakini sio vema kuingia uhusiano na mtu kwa kusema kwamba atabadilika au utambadirisha tabia zake..., mara nyingi hapo ni kuleta mfarakano..., na sio fair kutaka kumbadilisha mtu tabia kuendana na unavyotaka wewe (hapo ni kutaka mtu afanye sacrifice...)

Kumbuka tofauti zina-depend (sababu kama hupendi mtu anaekunywa au kuvuta sigara basi ni dhahiri kwamba itakuwa karaha kupata mtu anaekunywa..., au kama una wivu sana itakuwa karaha kupenda mtu outgoing na mcheshi na anaejichangaya).., Kama hupendi kelele itakuwa karaha kuwa na mtu mwongeaji and vice versa...


Ni bora kupata mtu ambae mna-fit in more ways than one, kwahiyo inamaanisha bond yenu ni kubwa kuliko Bond ambayo imeunganishwa na vitu vichache hapo shida zikitokea ni rahisi kuachana....
 
Lizzy Mdogo wangu,
Hii dunia ingekuwa na huruma kidogo tu labda tungekuwa tunaweza kutabiri mazuri au mabaya yanayotusubiri mbele yetu.

Kuna watu vipande vinakuwa na perfect fit utadhani vilitegenezwa baada ya kuwa vimepimwa tena kwa special order...Ila huwezi kuamini kwamba vinashindwa kuhimili mitikisiko na kuvunjika vunjika kabla ya kufika nyumbani. Na kuna vingine ni so irregular kiasi kwamba hata kuvilazimisha vigundishwe inakuwa nje ya uwezo wetu wa kufiriki..Ila mtu unashangaa jinsi miujiza inavyojitokeza na kuvifanya viishe pamoja utadhani nilikuwa pacha toka day zero.

Maisha yaachwe tu yawe hivyo kwani hata kinyonga ana nafuu!

Babu DC nimekusoma.

Nnavyoona mimi ni hivi: wale wanaona puzzle zao zinafit na baadae hazifit na wale wanaoona hazifit na baadae wanashangaa sio kama ni miujiza au bahati mbaya vinakua vimewatokea.Bali ni matokeo ya kutumia puzzle za MATAKWA yao kutafuta kile WANACHOHITAJI!!!

Kwahiyo wale wanaopata zinazofit wanakua wamepata kile wanachokitaka...ila baada ya muda mabadiliko yanakuja!Wanagundua kwamba walichotaka na kukipata sicho wanachohitaji!Hivyo hivyo kwa wale wanaodhani wamebahatika kuona muujiza mbele ya macho yao...mtu anakua ametumia puzzle za matakwa na kuona kwamba haziendani na za mwenzake.Ila kumbe zinaendana na mahitaji yake ambayo ni muhimu kuliko matakwa.

Na tatizo hapa ni kwamba wengi hua tunafikiria na kujua ni nini tunachotaka bila kujishughulisha kufahamu tunayohitaji!!!Ndio maana unakuta mtu aliwahi kukupa sifa za atakae kua mke wake baadae ila siku ikifika akakutambulisha unajiliza kama amesahau sifa zake zile au la!Sio kama anakua hajawaona wenye sifa alizotaka awali. Na wkati mwingine unakuta mtu anatamba sana mwanzoni kwamba mwenzangu ana kila NNACHOTAKA ila muda sio mrefu unashangaa akisema yule hakua size yangu au hakunifaa!Ukiangalia sifa zote alizotoa mwanzo kama ni uzuri/pesa/ndoa/ n.k bado viko pale pale!!

Au labda ndio mambo ya za mchina kama Chauro alivyosema!! lolzzz!!!
 
thax lizzy maana siku hzi kuna na vya kichina kinaeza kufit siku moja kumbe feki.
Hahhhaa...Bebii asante kwa kunifurahisha!!Alafu nikakosea kusema Chauro ndo kaongelea za mchina!
 
Kweli hapa ni kwa Great Thinkers. Nimeifurahia hii .... sijui mi nitapata anayefit au nitapata asiyekuwa na gundi ya kunifanya ninate kwake?

Hapo kilichobaki ni kuendelea kuangaza macho..
 
Lizzy mie kama chauro alicosema pande langu lilifiti vizuri sana nafikiri ile elninyo iliyoleta mafuriko ilipanuka ikawa hafiti nikawahi kulikausha na jua, usemavyo ni kweli, kabisa ila sijui ninnini huwa kinakuja kutokea

Gaga afadhali uligundua kwamba yalikua matatizo ya kiufundi tu ukakomaa...ungezitupa saa hizi ungekua unajutia!!
 
Leo asubuhi nilikua nafikiria kitu nikajikuta naangalia mahusiano na ndoa kwa namna ambayo sikuwahi kabla. Mimi na wewe ni kama vipande vya puzzle ....you've got your share and I have got mine.Ukiviweka pamoja either unapata picha/umbo kamili ama hupati.

images
kila mmoja ana shape na size tofauti.Inapotokea wewe kama puzzle umemchagua mtu ambae yeye kama puzzle hana shape zinazoendana na vipande ulivyonavyo ndipo matatizo na migongano inapoanza.Utajitahidi kunoa na kuongeza zile sehemu zisizofit vizuri kwako au kwake ila mwishoni unashangaa pamoja na jitihada zako zile sehemu zinapwaya na ukiendelea kulazimisha zinavunjika na kuvunjika.

So jambo la muhimu hapa ni kutafuta vile vipande ambavyo vinaendana na vyako_One that is complementary to yours....one that accomodates your needs.
images

Linapokuja swala la ndoa ndo kabisa umakini wa hali ya juu unahitajika.Hapa kinachofanyika ni kuvishikanisha vipande vyako na vya mwenzako kwa glue.Hata kama haviendani at first havitakua na jeuri juu ya glue....ila baada ya muda utashangaa huku kunameguka...na vikianguka tu vinavunjika vunjika.Ila kama vitakua vinaendana ni rahisi kustahimili mitikisiko na mianguko.Hata sehemu ikimeguka ni rahisi kuirudishia.Kwahiyo kuweni waangalifu....usichukue tu vipande ni vipande...
images
....bali tafuta vile vinavyokufaa!!

Mchana mwema!!



Liz,
Mungu akubariki kwa ujumbe wako wa leo....
Kweli watu tunaangalia juu juu tunapochagua mates..... na matokeo yake ni kuumizana na kuharibiana maisha....
Right mate is comming from God!!!

Umenifanya nikupennde... enjoy ur day
 
Liz,
Mungu akubariki kwa ujumbe wako wa leo....
Kweli watu tunaangalia juu juu tunapochagua mates..... na matokeo yake ni kuumizana na kuharibiana maisha....
Right mate is comming from God!!!

Umenifanya nikupennde... enjoy ur day

Asante SMART....nawe ubariliwe pia!!!
 
Lizzy hapa umepatia more than 100%. Your statemets are more than correct and to me they mean TIMING IS EVERYTHING AND ONLY TIME WILL TELL!

Babu DC nimekusoma.

Nnavyoona mimi ni hivi: wale wanaona puzzle zao zinafit na baadae hazifit na wale wanaoona hazifit na baadae wanashangaa sio kama ni miujiza au bahati mbaya vinakua vimewatokea.Bali ni matokeo ya kutumia puzzle za MATAKWA yao kutafuta kile WANACHOHITAJI!!!

Kwahiyo wale wanaopata zinazofit wanakua wamepata kile wanachokitaka...ila baada ya muda mabadiliko yanakuja!Wanagundua kwamba walichotaka na kukipata sicho wanachohitaji!Hivyo hivyo kwa wale wanaodhani wamebahatika kuona muujiza mbele ya macho yao...mtu anakua ametumia puzzle za matakwa na kuona kwamba haziendani na za mwenzake.Ila kumbe zinaendana na mahitaji yake ambayo ni muhimu kuliko matakwa.

Na tatizo hapa ni kwamba wengi hua tunafikiria na kujua ni nini tunachotaka bila kujishughulisha kufahamu tunayohitaji!!!Ndio maana unakuta mtu aliwahi kukupa sifa za atakae kua mke wake baadae ila siku ikifika akakutambulisha unajiliza kama amesahau sifa zake zile au la!Sio kama anakua hajawaona wenye sifa alizotaka awali. Na wkati mwingine unakuta mtu anatamba sana mwanzoni kwamba mwenzangu ana kila NNACHOTAKA ila muda sio mrefu unashangaa akisema yule hakua size yangu au hakunifaa!Ukiangalia sifa zote alizotoa mwanzo kama ni uzuri/pesa/ndoa/ n.k bado viko pale pale!!

Au labda ndio mambo ya za mchina kama Chauro alivyosema!! lolzzz!!!
 
Lizzy hapa umepatia more than 100%. Your statemets are more than correct and to me they mean TIMING IS EVERYTHING AND ONLY TIME WILL TELL!

Ngwana ni kweli unayosema kwamba timing is everything ila huo msemo wa “time will tell“ sijui kwanini siupendi sana.
 
. . . . . tukumbushane umuhimu wa kuchagua mwenzi sahihi badala ya kudanganyika na vitu ambavyo kiukweli sivyo tunavyohitaji kwenye mahusiano.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom