nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Tangu kuanza kwa harakati hizi za vyma vingi nilijisemea moyoni lazima niongeze uzazi ambao utasaidia mageuzi ya haraka hapa Tanzania, baada ya kuona mafisadi wanapandikiza watoto wao kwenye siasa, nikajisemea haikubaliki, Ngoja mimi na familia yangu tuanze kupeana darasa la Uraia na Utaifa , katika hili mageuzi hayatashindikana, kama maandiko yasemavyo huwezi kuimba nyimbo za Bwana Ukiwa Ugenini, hivyo nimeamua kuwafundisha itikadi sahihi watoto wangu , kwafaida ya kuikomboa nchi toka kwa wakoloni weusi.
CHADEMA NI KWAVIZAZI VYOTE.
CHADEMA NI KWAVIZAZI VYOTE.