Mhhhh mh nashindwa hata la kusema,kumbe ulikua unamsingizia mshenga ruttashobolwa?leo nimemmis sijui yko bize na nini? All ni all mwanaume hafungwi wala kuzuiwa kutamani ila mwanamkeanaweza kujifunga kutamaniSo jeneneke unaniruhusu na mimi kuja kwako kutangaza nia maana lol kizuri kula na ndugu yako!
Hata we unajua haiwezekaniHaya, Tunaweka evidence. Prenups mtajiandikia wenyewe pia learned?
Hata we unajua haiwezekani
Asante sana sisterhongereni wahusika.........ila hiyo pete ni ya aina gani ya madini?
Hii ni dalili ya mtu aliyeumizwa. Bila shaka many applications were sent in vain!
Sijkuelewa hapa Erickb52 kutangaza nia kuhusu kipi hicho tena kizuri ndugu yangu unachotaka kula na mimi? Si unaona?Mnamsingizia mshenga wangu kumbe kinyume chake ni kweli.
Naona mpenzi Ronn M yupo busy sana lakini Erick52 is available all the time sijui ndo ameanza kunivuta maana anajua lady always wants attention of her man
karibu mkwe! karibu sana.O.k kwa hiyo we mama mdogo heshima yako!
khaaaaaaaaaaaaaaaa! kwani vipi jamani, mbona kuntu mchana huu, mwambie mume wangu ye ni hakunaga, nampenda mnoooooooo!Nna salamu zako toka kwa mmeo. Anasema amekumisi sana eti.
Haya, ngoja niende mtaa wa pili nikamfikishie ujumbe. Humtumiagi hata kakiss ka mwaah nimpelekee?khaaaaaaaaaaaaaaaa! kwani vipi jamani, mbona kuntu mchana huu, mwambie mume wangu ye ni hakunaga, nampenda mnoooooooo!