matumbo JF-Expert Member Jul 9, 2011 7,225 3,944 Jul 7, 2012 #1 Naichukia sana CCM...imefikia hatua nikipanda Bus,nikigundua niliyekaa nae siti moja ni CCM.....Nipo tayari kusimama Dsm mpaka Musoma. Sijui nifanyaje kuondoa hii hali..
Naichukia sana CCM...imefikia hatua nikipanda Bus,nikigundua niliyekaa nae siti moja ni CCM.....Nipo tayari kusimama Dsm mpaka Musoma. Sijui nifanyaje kuondoa hii hali..
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Jul 7, 2012 #2 Aisee CCM nikiisikia tu natapika nyongo
matumbo JF-Expert Member Jul 9, 2011 7,225 3,944 Jul 7, 2012 Thread starter #3 Chimunguru said: Aisee CCM nikiisikia tu natapika nyongo Click to expand... kweli mkuu,kama imetokea unapata msosi alafu kwa mbaali unasikia kale ka wimbo kao ka nambari waani eeh..lazima uludishe chenji.
Chimunguru said: Aisee CCM nikiisikia tu natapika nyongo Click to expand... kweli mkuu,kama imetokea unapata msosi alafu kwa mbaali unasikia kale ka wimbo kao ka nambari waani eeh..lazima uludishe chenji.