Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Mie B, Na date na Dada X,
Inatokea X anakuwa MBALI nami kwa muda mrefu, najikuta Na nasa kwa Dada Y, she is hot and descent, anapata info za X, ananiulizia kuhusu X, nakana kuwa sina mahusiano tena na X (Mistake No1 ?), OFCOURSE NILISHAMAKE DECISON YA KUWA NA Y... as days goes on Y anakuwa curious sana na X, anaanza kusitasita kunipa staright answer whether amenikubali or not, mara quarral zinaanza,leo hv kesho vile,tuna settle but after one week ugomvi tena, X mara X anaanza kunitafuta tena, najikuta kutokana na Disturbance nazopata kutoka kwa Y pole pole naanza kumrudia X, niko na Y still 9Nampenda kichizi hadi kesho yani) though ma ugomvi kila kukicha, one day Y anaona sms za X kwenye simu yangu, though Y bado hajaweka wazi kuwa mie na yeye kitu na Box, ana mind sana baada ya kuona sms za X,Ugomvi unaanza upyaaa,nahisi ntampoteza Y, anaomba No ya simu ya X,nachomoa (Heri lawama kuliko Fedheha) (Mistake No2?) , anazidi kukasirika na kunishutumu kuwa nina date na X, naamua kuwa mbali na Y ili nimpe muda wa kujifikiria na mie kufikiria pia,after one week naona I real LOVE Y,namtafuta, anakuja kwangu,tunapiga story, nachombeza taratibu, HAMAD kashika simu yangu nakuchukua namba ya X, namwambia kwa confidence kabisa "Waweza m call kama una wish" (Mistake No.3 ), anasita, after 5 days ana mcall X,anamuulizia kuhusu mie, X anajimwaga mbayaa,anamwambia B ni Mume wangu,atanioa soon,na ole wake atakayejipendekeza atanitambua....
Najua Pain anayopata Y, anaamua kujitenga, hapokei call zangu wala hajibu txt zangu though email anajikongoja ku reply.
Sitak ku mdisturb Y, nataka apate amani ya Moyo na kufanya the right decision,
I real love Y, naweza sema ali delay ku show that she love Me thats y haya yote yakatokea.
Mkimuona Y mwambieni nampenda,nimeamua kuwa Mbaaaaaaaaaaali na X....
One day i will sit down na kumueleza haya yote huenda akanisamehe....
Nishaurini nifanayeje niwe na Y wandugu
I learnt a Lesson here
Inatokea X anakuwa MBALI nami kwa muda mrefu, najikuta Na nasa kwa Dada Y, she is hot and descent, anapata info za X, ananiulizia kuhusu X, nakana kuwa sina mahusiano tena na X (Mistake No1 ?), OFCOURSE NILISHAMAKE DECISON YA KUWA NA Y... as days goes on Y anakuwa curious sana na X, anaanza kusitasita kunipa staright answer whether amenikubali or not, mara quarral zinaanza,leo hv kesho vile,tuna settle but after one week ugomvi tena, X mara X anaanza kunitafuta tena, najikuta kutokana na Disturbance nazopata kutoka kwa Y pole pole naanza kumrudia X, niko na Y still 9Nampenda kichizi hadi kesho yani) though ma ugomvi kila kukicha, one day Y anaona sms za X kwenye simu yangu, though Y bado hajaweka wazi kuwa mie na yeye kitu na Box, ana mind sana baada ya kuona sms za X,Ugomvi unaanza upyaaa,nahisi ntampoteza Y, anaomba No ya simu ya X,nachomoa (Heri lawama kuliko Fedheha) (Mistake No2?) , anazidi kukasirika na kunishutumu kuwa nina date na X, naamua kuwa mbali na Y ili nimpe muda wa kujifikiria na mie kufikiria pia,after one week naona I real LOVE Y,namtafuta, anakuja kwangu,tunapiga story, nachombeza taratibu, HAMAD kashika simu yangu nakuchukua namba ya X, namwambia kwa confidence kabisa "Waweza m call kama una wish" (Mistake No.3 ), anasita, after 5 days ana mcall X,anamuulizia kuhusu mie, X anajimwaga mbayaa,anamwambia B ni Mume wangu,atanioa soon,na ole wake atakayejipendekeza atanitambua....
Najua Pain anayopata Y, anaamua kujitenga, hapokei call zangu wala hajibu txt zangu though email anajikongoja ku reply.
Sitak ku mdisturb Y, nataka apate amani ya Moyo na kufanya the right decision,
I real love Y, naweza sema ali delay ku show that she love Me thats y haya yote yakatokea.
Mkimuona Y mwambieni nampenda,nimeamua kuwa Mbaaaaaaaaaaali na X....
One day i will sit down na kumueleza haya yote huenda akanisamehe....
Nishaurini nifanayeje niwe na Y wandugu
I learnt a Lesson here