Mimba. . . .

kuna wanaotoa hata wakiwa albam
kisa 'watoto wamepandiana sana' na hakuwa amepanga kuwazaa kwa kuacha muda mfupi sana.

Dah, yaani hii nayo ngumu.


Kuna mtu kasema hapo juu kuwa single.
 
kama mwanaume amekataa na umepima mwenyewe umeona huwezi then toa,single parenting is not an easy ride.......

Wakati unafanya hicho kitendo hukujua kuwa hawezi au anaweza kulea? be serious single parenting inawezekana ukiwa na roho ya huruma na uchungu kwa kile kiumbe unachokikatili maisha yake wanawake tuache u-goal keeper wa kusubiri penalt au mpira kuingia nyavuni chakarika mtoto wa kike mi nadhani mama ukiwa na nidhamu na maadili single parent inawezekana
 
Majuto ya nini kama short cut ipo mwanaume kakataa mimba na binti haupo tayari kulea solution ni kuitoa ila umakini wahitajika cause kizazi chaweza kuharibiwa.
kama unapenda mtoto kamwe hautajuta kumzaa hata kama mwanaume amekukataa na hata kama hauko tayari kulea hauwezi kutoa mimba.
 
dont play sympath card, am sure huyo mtoto atakushangaa akikuona unamlea kwa mateso kwa nini hukumtoa....
am not my dear, hicho nilichokiandika kimetoka moyoni mwangu tena kwa machungu, ni bora huyo mtoto niteseke naye kuliko kumuua kwa ukatili mkubwa kama huo uku akilia machozi mama usinitoe, mama usinitoe na akiangaika uku na kule kutafuta msaada ili asitolewe ila wewe uku ukiwa unafurahia, believe me my dear one day you gonna pay for it hapa duniani na hata uko ahera utalipa machungu na mateso uliyompa yule mtoto wakati unamtoa.
 
"



3.Baadhi ya wanawake wa akili za aina gani hata wajiweke katika position za kupata mimba na mwanaume asiyeeleweka huku wakijua fika 'BILA KUWEZESHWA HAWAWEZI'??"

Nasikitika kuona kwamba wanawake wengine wana fikra zilizokaa kinyume nyume na bila huruma wako tayari kuadhibu viumbe ambavyo havikishiriki kwenye mambo na starehe zao binafsi.
Lizzy,hapo kwenye red naona umekuwa too simpilistic.Anayetoa mimba si lazima awe hana akili timamu au awe hana uwezo wa kutunza mimba na kulea mtoto.I don't condone abortion lakini tuwe realistic kwamba anayetoa mimba anakuwa ana sababu zake and there is no way we can wear her shoes.Huenda wewe hayajakukuta lakini vyema wahusika wakatoa sababu zao za kufanya hivyo.Tusidanganyane hata humu mmu naamini kwa dhati kabisa kuwa watoa mimba wamo,naomba wajitokeze watupe darasa hapa ili tuachane na nadharia.
 
Mimba ni ya wote wawili( mwanamke na mwanaume) manake lazima mshirikiane kufanya itokee, mimba sio ugonjwa, inawezekana kuiepuka. Mie ndio mana huwa siamini mtu akisema amepata mimba kwa bahati mbaya. Siamini kama kuna mimba ya bahati mbaya labda kwa mtu 'aliyebakwa' tu.

Huyo dada angejua kulea mimba sio kazi, kazi ni kulea mtoto wala asingeropoka hayo maneno yake, ila ndio hivyo huezi kujua uhondo wa ngoma kama hujaingia kucheza.
SL you are missing a point,inawezekana kabisa na hutokea mara nyingi mwanamke akaamua kwa hiari kupata mimba baada ya kushauriana na mwenzie (yaani kunakuwa na mutual consent),tatizo linakuja baada ya mimba kuingia mmoja anakiuka makubaliano ya pre-mimba kuingia,ndo mana nasema ni vyema tukawasikiliza watoa mimba (naamini wamo humu mmu) ili tujue nini kiini hasa cha maamuzi haya mazito.Tuache kuhukumu jamani!
 
Hili la mimba nadhani kila mmoja na uelewa wake.

1. Kuna wanaoamini, haki ya mimba/mtoto huanza baada ya kuzaliwa mtoto, akiwa tumboni hana maisha hata kama ni miezi 7, ndo maana unakuta mtu anatoa mimba ya miezi 7
2. Kuna wanaoamini hak ya mimba/mtoto kuishi ni pale anapoanza kuwa kiumbe kinachoeleweka akiwa tumboni, kwa hiyo mimba ikiwa chini ya miezi anaona ana haki ya kutoa.

3. kuna wanaoamini haki ya mimba/mtoto kuishi huanza tu baada ya mimba kutungwa.

Sidhani kama hii kitu iko moja kwa moja maana kile unachoamini ndio kinakufanya uwe na uchungu wa kutoa mimba au la!

Kuna baadhi ya watu wameenda mbali zaidi na kusema hata matumizi ya kondomu ni haramu maana yanazuia utungwaji wa mimba.

Mie huwa nauhusishwa utoaji wa mimba na consious ya mtu.

Ila kwa nchi kama Tanzania ambapo utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria hadi kwa maelezo ya kitatibu yalothibitishwa, inazidi kuleta mkanganyiko zaidi.

Ni kujaribu kurithisha unachokiamini kwa kizazi chako, wao wakikua na wao watachagua la kuamini.
we konnie we,hivi habari za kutupwa Isanga zilikuwa feki au aspirin kakusaidia?
 
Mimba huwa ni ya mwanamke..............Wanaume mara nyingi tunasingiziwa tu!
 
Hear me girls out there believe when i say that you will never forget, Please usi-freak bila sox even if the guy says its not the same. The agony of unwanted pregnancies and abortions is too much of a big price to pay just to make a man happy. Leave the ignorant fool who is advocating for nyama kwa nyama!!!

Hapa ndio tatizo, tena linaletwa hasa na wanaume ambao hawaogopi STDs kwa raha ya nusu dakika.
 
Hear me girls out there believe when i say that you will never forget, Please usi-freak bila sox even if the guy says its not the same. The agony of unwanted pregnancies and abortions is too much of a big price to pay just to make a man happy. Leave the ignorant fool who is advocating for nyama kwa nyama!!!
Hasa ukikumbuka kua wanaume hawateseki sana kama wanawake
yeye ataendelea kusoma/kutumika, chances zake za kuoa hazipingui etc.
Kuna wanawake wengi wanasimama tena baada ya unwanted pregnancy
ila wengi ninao wajua wanakata tamaa na maisha yao yana 'haribika'.
But Mwanaume akimaliza hapo maisha yake wala hayana tofauti na mwanzo
 
SL you are missing a point,inawezekana kabisa na hutokea mara nyingi mwanamke akaamua kwa hiari kupata mimba baada ya kushauriana na mwenzie (yaani kunakuwa na mutual consent),tatizo linakuja baada ya mimba kuingia mmoja anakiuka makubaliano ya pre-mimba kuingia,ndo mana nasema ni vyema tukawasikiliza watoa mimba (naamini wamo humu mmu) ili tujue nini kiini hasa cha maamuzi haya mazito.Tuache kuhukumu jamani!
Bishanga kama umenisoma vizuri utagundua kuwa mie sijawahukumu watoa mimba, nilichosema ni kwamba hakuna mimba za bahati mbaya labda kwa aliyebakwa tu... Mie siku zote napenda kuwa wa mwisho kumhukumu yeyote!
 
Bishanga kama umenisoma vizuri utagundua kuwa mie sijawahukumu watoa mimba, nilichosema ni kwamba hakuna mimba za bahati mbaya labda kwa aliyebakwa tu... Mie siku zote napenda kuwa wa mwisho kumhukumu yeyote!
hapo nakupata,sasa wenye mauzoefu ya kuchoropoa mbona hawajitokezi tukasikia their side of the story? mi naamini wamo tu humu mmu ila wamebana.
 
Labda niulize tu wakuu wenzangu,kuna huyu bibie ambaye mume wake yuko nje ya nchi kimasomo.Huku nyuma bibie akapata kitulizo cha kiarabu.Kutahamaki ameshika ujauzito(hapo naomba msiniulize kuhusu uzuiaji wa mimba kwani sikuwepo wakati wa tendo na ikumbukwe kuwa wakati mwingine njia hizi huwa zinashindwa)Swali ni kuwa ataifanyaje hiyi mimba?Atunze ndoa yake au atunze mtoto?
 
Labda niulize tu wakuu wenzangu,kuna huyu bibie ambaye mume wake yuko nje ya nchi kimasomo.Huku nyuma bibie akapata kitulizo cha kiarabu.Kutahamaki ameshika ujauzito(hapo naomba msiniulize kuhusu uzuiaji wa mimba kwani sikuwepo wakati wa tendo na ikumbukwe kuwa wakati mwingine njia hizi huwa zinashindwa)Swali ni kuwa ataifanyaje hiyi mimba?Atunze ndoa yake au atunze mtoto?

bora atunze mtoto kwa sababu hutakaa umnyooshee kidole eti yule jambazi kaua kwa sababu wewe pia unakua muuaji dhamira inauma sana kuliko chochote na itakutesa daima
 
Labda niulize tu wakuu wenzangu,kuna huyu bibie ambaye mume wake yuko nje ya nchi kimasomo.Huku nyuma bibie akapata kitulizo cha kiarabu.Kutahamaki ameshika ujauzito(hapo naomba msiniulize kuhusu uzuiaji wa mimba kwani sikuwepo wakati wa tendo na ikumbukwe kuwa wakati mwingine njia hizi huwa zinashindwa)Swali ni kuwa ataifanyaje hiyi mimba?Atunze ndoa yake au atunze mtoto?
bora atunze mtoto, akubali fedheha .
 
Kina mama wote wangekuwa wasisitizaji wakuu wa kinga haya yote yangeepukwa.......wengi hawajali sana kuhusu kinga na wengi wajalio hushawishika kirahisi kutotumia kinga
 
SL you are missing a point,inawezekana kabisa na hutokea mara nyingi mwanamke akaamua kwa hiari kupata mimba baada ya kushauriana na mwenzie (yaani kunakuwa na mutual consent),tatizo linakuja baada ya mimba kuingia mmoja anakiuka makubaliano ya pre-mimba kuingia,ndo mana nasema ni vyema tukawasikiliza watoa mimba (naamini wamo humu mmu) ili tujue nini kiini hasa cha maamuzi haya mazito.Tuache kuhukumu jamani!
kushindwa kuelewan/kukiuka makubaliano kamwe haiwezekani kuwa warrant ya kutoa mimba, jamani tuueshimu uhai!.
 
am not my dear, hicho nilichokiandika kimetoka moyoni mwangu tena kwa machungu, ni bora huyo mtoto niteseke naye kuliko kumuua kwa ukatili mkubwa kama huo uku akilia machozi mama usinitoe, mama usinitoe na akiangaika uku na kule kutafuta msaada ili asitolewe ila wewe uku ukiwa unafurahia, believe me my dear one day you gonna pay for it hapa duniani na hata uko ahera utalipa machungu na mateso uliyompa yule mtoto wakati unamtoa.
sister...you sound very genuine and good woman in your comments.....ngoja nikupe scenario hii alafu useme kama ingekuwa imetokea kwako ungefanyaje!.....chukulia imetokea kuwa wewe umechelewa kurudi nyumbani giza likakukuta uchochoroni...au umekwenda ugenini mara bahati mbaya ukavamiwa na wahuni alafu wakakubaka...mnasema kupigwa mande.....wakakubaka weee...alafu wakakuachia ukajirudia nyumbani kwenu na aibu yako(labda hata ukawaripoti polisi..hata labda wakashikwa na kufungwa)...lakini mwisho wa siku wewe ukajikuta umepata mimba baada ya kubakwa......ebu tuambie unafanyaje kwenye hali hii???....labda mungu kakunusuru wale wahuni hawakukuachia ukimwi(hata kama wamekuachia ukimwi..ukiwahi siku hizi kuna kinga...PEP inaitwa)....tuambie unaifanyaje hii mimba???....Niseme tu masuala ya kutoa/kutotoa mimba ni mjadala muhimu sana wakati huu ambapo serikali inaegemewa kupeleka muswada wa sheria ya kuruhusu utoaji mimba TZ.......labda huu ni wakati muafaka kulijadili hili....ebu tuambie hiyo mimba ya kubakwa we utaifanyaje?????????
 
Back
Top Bottom