Wadau habarini,hivi hizi mimba za kupandikizwa zinaweza kupandikizwa kwa kila mwanamke au kuna mazingira yanayoweza kusababisha ishindikane kwa wengine?na kwa mfano wale wanaopandikizwa huwa wananyonyesha wakishazaa au inakuwaje??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.