Mtu ana mimba ya miezi nane na ushee lakini bado tu anataka kunanihii na mumewe kisa eti kumdhibiti mumewe asitoke nje, hii imekaaje?
Tena kwa kawaida unaweza kufanya tendo hilo mpaka siku yenyewe ya kujifungua haina shida kabisa, ila mara nyingi unakuta afya za wenzetu huwa hazirihusu kwa sababu ya uchovu na wengine huwa hawapendi kuwaona waume zao. Lakini kama afya ni barabara acha wafurahie ili mtoto azaliwe katika amzingira ya furaha na upendo
Wengine walidhani nazungumzia ku-do. wewe kama unataka ku-do do tu hadi masaa miwili kabla mkeo hajajifungua!!Kwa hiyo huwa anatoa siku zote ILI MUME ASITOKE NJE??????????
Ndio Maana ya ndoa hiyo , au ??????
I Cant understand this