tena km wanauwezo wa kufanya ,ndiyo inashauriwa kitaalamu wafanye hata mpaka siku anaingia labour ward kujifungua....medically haina madhara(ngono km tendo lenyewe lilivyo) zaidi inamsaidia mama kufanya mazoezi ya pumzi ,nyonga n.k n.k
Mtu ana mimba ya miezi nane na ushee lakini bado tu anataka kunanihii na mumewe kisa eti kumdhibiti mumewe asitoke nje, hii imekaaje?
Sasa kwani kuna ubaya gani akitaka kufanya mapenzi na mumewe akiwa na mimba ya miezi nane? Kama hormones zinaruhusu mwache aendelee kupata vitu
Mtu ana mimba ya miezi nane na ushee lakini bado tu anataka kunanihii na mumewe kisa eti kumdhibiti mumewe asitoke nje, hii imekaaje?
Hii nimependa sana!Tena kwa kawaida unaweza kufanya tendo hilo mpaka siku yenyewe ya kujifungua haina shida kabisa, ila mara nyingi unakuta afya za wenzetu huwa hazirihusu kwa sababu ya uchovu na wengine huwa hawapendi kuwaona waume zao. Lakini kama afya ni barabara acha wafurahie ili mtoto azaliwe katika amzingira ya furaha na upendo
miezi nane mbona bado sana??naona uwatakii wenzako mema