Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
Mbona na mimi naimba lakini sijawahi kufanya huo mchezo mchafu:hand::hand::hand:
ahahahahah we Finest unaimbia wapi? bafuni?????
Mbona na mimi naimba lakini sijawahi kufanya huo mchezo mchafu:hand::hand::hand:
Mbona na mimi naimba lakini sijawahi kufanya huo mchezo mchafu:hand::hand::hand:
Wanakwaya waliookoka wasio na ndoa wanapataje mimba?
Maana ukiwasalimia dada mambo? Utawasikia wakijibu mambo kwa yesu.
Lakini cha kushangaza na kusikitisha ni mabingwa wa kubeba mimba kabla ya ndoa
Kuna mwanakwaya ushambandika mimba? au umejuaje na una uhakika gani? Kumbe na wewe mchafuzi wa mabinti? lol!Wanakwaya waliookoka wasio na ndoa wanapataje mimba?
Maana ukiwasalimia dada mambo? Utawasikia wakijibu mambo kwa yesu.
Lakini cha kushangaza na kusikitisha ni mabingwa wa kubeba mimba kabla ya ndoa
hata wewe!???Mbona na mimi naimba lakini sijawahi kufanya huo mchezo mchafu:hand::hand::hand:
mmmh....hapa sina comment kabisa:hand::hand::hand::llama:
How does that happen when everyone knows that born again people do not know how to do that thing?
Sasa kuna kwaya naifahamu nusu ya wanakwaya wana miwaya na robo yao washakwenda na maji.
Unajua kuna watu wanachukulia ulokole kama sifa kumbe ni maisha yako ndo ulokole.
Waache wapate mimba,na wana tabia ya kudharau wengine kuwa ni wadhambi sasa akibeba mimba huku hajaolewa si uzinzi huo
Wanakwaya waliookoka wasio na ndoa wanapataje mimba?
Maana ukiwasalimia dada mambo? Utawasikia wakijibu mambo kwa yesu.
Lakini cha kushangaza na kusikitisha ni mabingwa wa kubeba mimba kabla ya ndoa
mimi napindukautakimbia zambi zote ila pale kati lazima utanaswa tu piga ua galagaza pale apinduki mtu
Buji sikiliza faza, hakuna watu wanafiki kama wanao profess ulokole wao waziwazi. Ogopa sana hao watu. Unafiki wao hauna kipimo wala mpinzani.
Kuanzia kwenye kanisa katoliki na ugay hadi kwa wokovu wasanii kama Kakobe hakuna lolote la maana. Kakobe kwa mfano anahubiri prosperity gospel....I mean, real talk, ain't that utapeli camouflaged in the name of religion/god?
Hebu m google Bshop Eddie Long wa Newbirth Missionary Church in Atlanta, Georgia uone kashfa iliyomkumba sasa.
Wanafiki wakubwa hawa watu
hayo mengine uliyosema sina uhakika nayo, ila hapo kwenye bold umeskip the line. Kakobe ahubiri prosperity gospel. Anahubiri injili ya wokovu na kuishi kwa kumpendezesha Mungu na si wanadamu. usimfananishe na mchungaji wa kanisani kwakoBuji sikiliza faza, hakuna watu wanafiki kama wanao profess ulokole wao waziwazi. Ogopa sana hao watu. Unafiki wao hauna kipimo wala mpinzani.
Kuanzia kwenye kanisa katoliki na ugay hadi kwa wokovu wasanii kama Kakobe hakuna lolote la maana. Kakobe kwa mfano anahubiri prosperity gospel....I mean, real talk, ain't that utapeli camouflaged in the name of religion/god?
Hebu m google Bshop Eddie Long wa Newbirth Missionary Church in Atlanta, Georgia uone kashfa iliyomkumba sasa.
Wanafiki wakubwa hawa watu
Nimeona kwye hii link hapa.
HEBU CHEKI.
hayo mengine uliyosema sina uhakika nayo, ila hapo kwenye bold umeskip the line. Kakobe ahubiri prosperity gospel. Anahubiri injili ya wokovu na kuishi kwa kumpendezesha mungu na si wanadamu. Usimfananishe na mchungaji wa kanisani kwako