Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mbona taarifa zinasema hajakamatwa ila anatafutwa kwa kosa la kusema kuna kigogo alipiga simu kuwa Polisi wazuie mkutano wa juzi...mpashaji wangu kaniambia sababu kubwa ambayo polisi wamemkamata Millya ni yale maneno aliyotoa wakati wa uzinduzi wa mashina kwamba riz hapaswi kuingilia siasa za vijana na pia watanzania hawakumchagua riz awe rais wamemchagua baba yake lakini la ndani zaidu kuna harusi ya kada mmoja wa ccm ambayo ilifanyika huko moshi baada ya harusi kulikuwa na kikao kisicho tambulika kisheria ambacho kiliongozwa na mkit uvccm ndugu benno yaliyoelezwa humu yalimkashifu sana riz na baba yake nafkiri nayo ni sababu!