Mh ndio ninavyoangalia shillingi inavyoporomoka na kimya kikuu cha serikali. Inaumiza zaidi serikali imejikita zaidi katika SIASA kuliko UCHUMI.
Akina BENNO NDULU na Mustapha Mkulo wako wapi?
Malengo ya millenia kwa Tanzania yatakamilika kwa kutegemea wawekezaji? Wawekezaji wenyewe wachakachuaji, wanakuja kuchuma na kusepa kwao.
Kwa nini serikali ya CCM haishauriki?? Hawataki hata kuitisha kongamano la wazawa wakajadili uchumi kuporomoka? Wanapiga propaganda tu kuwa uchumi unapanda wakati umasikini ukiwatafuna wananchi. Vijana wanahangaika na ajira wakati wao ccm wanapanga nani awe raisi 2015?
Hata Zambia wametupiku, Rwanda pamoja na VITA wametupiku, Sasa amani ya Tanzania inaimbwa kwa miaka 50 inafaida gani.
Igunga watu hawajui kusoma, wanakunywa maji kwenye mabwawa pamoja na wanyama. MMMHHHH
Nguvu kazi ya vijana inapotea, vijana hawana ajira, wawekezaji wanapora rasilimali zetu, je uchumi utakuwa, shillingi itaimarika???!!!
Hakika uchumi kuporomoka ni KiTanzi kwa ccm, amkeni acheni kukalia siasa jamani. kasi ya kuporomoka kwa shillingi ni kubwa jamani.
Ushauri wangu:
KILIMO KWANZA KIWE KWA WANANCHI WA TANZANIA.
NAPINGA KUITA WAWEKEZAJI NA KUWAPA ARDHI YETU KAMA ZAWADI.
WAWEKEZAJI WANAKUJA BILA HATA SHILLINGI MOJA, WANAPEWA ARDHI HALAFU WANATUMIA ARDHI YETU KUPATA MIKOPO.
HOW FO ..OL ARE WE TANZANIANS? SAMAHANI SIJATUKANA ILA NINASHANGAAAAAA
Kila nafasi nzuri tu ya uwekezaji tunaita wawekezaji, mtanzania akiomba ananyimwa au anawekewa mizengwe.
Angalia mashamba ya mpunga mbarali, amepewa mwekezaji halafu analima, anauza na faida anapeleka kwao nje. Je nani anajua analipa kodi kiasi gani.
NASHAURI TUSIKUBALI NGUVU KAZI YA VIJANA IENDELEE KUPOTEA.
YALE MASHAMBA YA NAFCO NA RANCH KIBAO ZIFANYIWE ASSESSMENT NA VIJANA WAPEWE.
LITOLEWE TANGAZO LA KUSEMA KILA KIJANA ANAYETAKA KULIMA KILIMO CHA BIASHARA AJIOREDHESHE, NA APEWE KIASI AMBACHO ATAMUDU KULIMA AU KUFUGA KIBIASHARA. NA HIVYO ATAZALISHA NA ATALIPA KODI SERIKALI.
WHY KILA KITU WAWEKEZAJI, KISA WANATOA 10%??? - TUACHE KUWAZIA TUMBO ZETU JAMANI, TUONEE HURUMA VIJANA WA TAIFA HILI.
VIJANA HAWA WAKIACHWA LITAKUWA BOMU AMBALO LIKILIPUKA, HAKUNA WA KUZUIA.
Wewe unaependa 10% - angalia na kesho, tosheka ili vijana wa wenzio nao wapate angalao.
Naomba wachangiaji wengine zaidi, ili tuangalie jinsi ya kuinua uchumi wa tanzania. tuokoe vijana
Tuache ushabiki wa kisiasa
Akina BENNO NDULU na Mustapha Mkulo wako wapi?
Malengo ya millenia kwa Tanzania yatakamilika kwa kutegemea wawekezaji? Wawekezaji wenyewe wachakachuaji, wanakuja kuchuma na kusepa kwao.
Kwa nini serikali ya CCM haishauriki?? Hawataki hata kuitisha kongamano la wazawa wakajadili uchumi kuporomoka? Wanapiga propaganda tu kuwa uchumi unapanda wakati umasikini ukiwatafuna wananchi. Vijana wanahangaika na ajira wakati wao ccm wanapanga nani awe raisi 2015?
Hata Zambia wametupiku, Rwanda pamoja na VITA wametupiku, Sasa amani ya Tanzania inaimbwa kwa miaka 50 inafaida gani.
Igunga watu hawajui kusoma, wanakunywa maji kwenye mabwawa pamoja na wanyama. MMMHHHH
Nguvu kazi ya vijana inapotea, vijana hawana ajira, wawekezaji wanapora rasilimali zetu, je uchumi utakuwa, shillingi itaimarika???!!!
Hakika uchumi kuporomoka ni KiTanzi kwa ccm, amkeni acheni kukalia siasa jamani. kasi ya kuporomoka kwa shillingi ni kubwa jamani.
Ushauri wangu:
KILIMO KWANZA KIWE KWA WANANCHI WA TANZANIA.
NAPINGA KUITA WAWEKEZAJI NA KUWAPA ARDHI YETU KAMA ZAWADI.
WAWEKEZAJI WANAKUJA BILA HATA SHILLINGI MOJA, WANAPEWA ARDHI HALAFU WANATUMIA ARDHI YETU KUPATA MIKOPO.
HOW FO ..OL ARE WE TANZANIANS? SAMAHANI SIJATUKANA ILA NINASHANGAAAAAA
Kila nafasi nzuri tu ya uwekezaji tunaita wawekezaji, mtanzania akiomba ananyimwa au anawekewa mizengwe.
Angalia mashamba ya mpunga mbarali, amepewa mwekezaji halafu analima, anauza na faida anapeleka kwao nje. Je nani anajua analipa kodi kiasi gani.
NASHAURI TUSIKUBALI NGUVU KAZI YA VIJANA IENDELEE KUPOTEA.
YALE MASHAMBA YA NAFCO NA RANCH KIBAO ZIFANYIWE ASSESSMENT NA VIJANA WAPEWE.
LITOLEWE TANGAZO LA KUSEMA KILA KIJANA ANAYETAKA KULIMA KILIMO CHA BIASHARA AJIOREDHESHE, NA APEWE KIASI AMBACHO ATAMUDU KULIMA AU KUFUGA KIBIASHARA. NA HIVYO ATAZALISHA NA ATALIPA KODI SERIKALI.
WHY KILA KITU WAWEKEZAJI, KISA WANATOA 10%??? - TUACHE KUWAZIA TUMBO ZETU JAMANI, TUONEE HURUMA VIJANA WA TAIFA HILI.
VIJANA HAWA WAKIACHWA LITAKUWA BOMU AMBALO LIKILIPUKA, HAKUNA WA KUZUIA.
Wewe unaependa 10% - angalia na kesho, tosheka ili vijana wa wenzio nao wapate angalao.
Naomba wachangiaji wengine zaidi, ili tuangalie jinsi ya kuinua uchumi wa tanzania. tuokoe vijana
Tuache ushabiki wa kisiasa