Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,829
waulize mkuu!wanamsemea ufatdani wanaishi naeAisee! Instagram community! Lakini kwanini tunamuona huyo dada muongo? Kwamba Millard Ayo hawezi kupiga mechi za mchangani; au?! Mechi hizi hizi ambazo zinapigwa na Masheikh, Maaskofu, Mawaziri na wengine kibao zionekane haiwezekani kwa Millard? Au hawezi kutoa advance akaingia mitini?!
kumbe milard anakuwa sehemu moja tu mwilinihayo maelezo ukiyasoma vizuri utagundua huyo dada ni muongo.
kama ni mkweli alete screenshot ya chat zao.
Hapo sasa... na wengine hapo ni wanaume wenzangu ambao wanajua kabisa mbupu zikishaanza kutekenya, status unatupa kule na kudaka tiba fasta iwezekanavyo!waulize mkuu!wanamsemea ufatdani wanaishi nae