Tetesi: Millard Ayo Aacha kazi CloudsFM

Status
Not open for further replies.
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
KizunguMukuti, kumbuka neno "role model" kwa hiyo sio mbaya Millard Ayo kuiga ilimradi hafanyi sawasawa na kina Ryan secrest.
 
Ivii mwanaume kuwa mbea kunafaida gani....millardayo jana kasema anamalizia kazi usa baada ya hapo anarud sas huo umbeaaa wako umeupata wapi toto la kiume
 
Mi sijawahi kutoka nje ya bongo. Nimetembea mikoa 8 tu.
Hivi nyie wenzetu mliotembea nje ya nchi na huko kuna watu wana wivu kama wabongo? Manake khaaa!
 
Hivi unadhani usa ni kama buku?acha kabisa kule kunawatu hatari kwwnye hiyo taaluma
 
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Kichwa kama embe bolibo bichi
 
[QUOTE="myplusbee, kama amewaiga Ryan na Ramero ina maana wote hao tone/utangazaji wao umefanana na kwahiyo, kwa maelezo kuna mmoja kamuiga mwenzake![/QUOTE]

Pointi, watu wana roho mbaya!!!!
 
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha


hata mess na ronaldo kuna watu walikuwa wanapenda kuwaiga na kuvifanyia kazi vile vizuri toka kwa marol modo wao kwa nini tunachuki kiasi hiki?
 
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Bwashe, taja mtu mwingine ambaye huyu kijana anamuiga but Ryan, there's nothing in common btn the two. BTW, namfuatilia sana Ryan.
 
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha

Vitu vingi hapa duniani Watu wanakopi Na kupesti.Huyo Ryan secrest Na Ramero nao hawakuzaliwa ma DJ.Milad Ayo anastahili sifa Hata Kama haumpendi.
 
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Hebu JIUGUZE POLE na kipande hiki cha shoo cha Mfaulme wa muziki E.A, hebu msikilize huyo MC anavyomtambulisha DIAMOND jukwaani na shangwe iliyotoka hapo.
 
Nothing comes easy....
More practice make it perfect......
Good things comes to those who fight for it......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom