Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuiga mambo mazuri sio mbaya ndo vizuri ndo inavyotakiwa au ulitaka Millard ayo akuige wewe?Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Ni ushamba tuu umemjaa na huyu huwezi kumkuta ana mafanikio hata siku mojaKuna harufu ya wivu hapa, kupenda kutukuza na kuabudu watu wa nje ya nchi, kama utumwa flani hivi.
we kama unamchukia millard ayo una matatizo makubwa sanaHaahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Yaani jamaa ameniboa balaa.... kumbe watu wana chuki kiasi hiki....bt kwann uwe na chuki ambazo hazikuongezei kipato.A true example of a die hard hater
Mkuu umenichekesha sana US atabaki Mange kwa kweli wengine wote watarudishwa nyumbani.Us kwa english ipi aliyo nayo? Donald atamrudisha tu.. Kule us atabaki Mange
And I think itakuwa likizo...mbona hata mtangazaji yule wakike clouds tv na yy yupo Dubai...Watanzania kwa uongo tunaongoza...sasa umeandika hapo ukidhani watu hatujui kusoma au? Umedanganya kwenye bio yake katoa neno clouds kweli? Umeenda insta acc yake ukahakikisha?
Nenda ukaangalie upya acha kukurupuka...kule yuko kazin na hayuko alone alienda na B12
Hii screenshot nimeichukua hivi punde:Nasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani
1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala Instagram
4.Istagram yake ametoa ile clouds meadia groo kaweka Broklyn, NewYork
Jee ni kweli hiii....
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Us kwa english ipi aliyo nayo? Donald atamrudisha tu.. Kule us atabaki Mange