Tetesi: Millard Ayo Aacha kazi CloudsFM

Status
Not open for further replies.
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Kuiga mambo mazuri sio mbaya ndo vizuri ndo inavyotakiwa au ulitaka Millard ayo akuige wewe?
 
Ngoja wachambuzi wa masuala ya watangazaji wafike hapa, waje watoe athari za kuondoka Milard ayo!
 
Ni maisha yke binafisi anauamzi wa kuendelea na kazi au kuacha hana madhara kwa taifa....
 
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
we kama unamchukia millard ayo una matatizo makubwa sana
 
Watanzania kwa uongo tunaongoza...sasa umeandika hapo ukidhani watu hatujui kusoma au? Umedanganya kwenye bio yake katoa neno clouds kweli? Umeenda insta acc yake ukahakikisha?

Nenda ukaangalie upya acha kukurupuka...kule yuko kazin na hayuko alone alienda na B12
 
Watanzania kwa uongo tunaongoza...sasa umeandika hapo ukidhani watu hatujui kusoma au? Umedanganya kwenye bio yake katoa neno clouds kweli? Umeenda insta acc yake ukahakikisha?

Nenda ukaangalie upya acha kukurupuka...kule yuko kazin na hayuko alone alienda na B12
And I think itakuwa likizo...mbona hata mtangazaji yule wakike clouds tv na yy yupo Dubai...
 
Nasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani

1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala Instagram
4.Istagram yake ametoa ile clouds meadia groo kaweka Broklyn, NewYork


Jee ni kweli hiii....
Hii screenshot nimeichukua hivi punde:

Ayo.jpg


In addition, ni Broklyn au umemaanisha Brooklyn? Ikiwa ni Brooklyn basi hiyo is just one of New York City Municipal, kwahiyo is just a location! Kwahiyo possibly, Instagram ilikuwa ime-locate location yake kwa wakati huo; kitu ambacho hata ukiwa Dar es salaam, location yako inaweza kuwa recorded!
 
Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha



Us kwa english ipi aliyo nayo? Donald atamrudisha tu.. Kule us atabaki Mange

Wivu mbaya sana.
 
Status
Not open for further replies.
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom