Militant Sect Declares War on Nigeria After Leader's Killing

Mi nadhani bado kuna tatizo la watu kufahamu uislam na ugaidi. Inawezekana magaidi wakawa ni waislam lakini uislam si ugaidi. Dunia ya magharibi imewafanya watu waamini kwamba uislam ni ugaidi wakati si kweli hii ni njama walioamua kuieneza ili waweze kunyonya mafuta ya waarabu kwa urahisi. Asili hasa ya dunia ya kiarabu kupinga wenzetu wa magharibi ni huu utaratibu wa nchi za kimagharibi kuhakikisha kwamba resources zote za hapa ulimwenguni zinakuwa zao na kunufaisha kwao na kuziacha nchi husika zikiwa masikini kabisa. Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya hata kidogo, ni mipango kabambe ambayo kwanza wanahakikisha wanatengeneza watu wao wanawaahidi maisha saafi ulaya then wanaanza kula maliasili zetu taratibu.

Mkinyanyuka na kudai haki zenu ndo majina km magaidi, waasi nk hutokea lakini gaidi wa kwanza hapa duniani ni kundi la utawala la nchi za magharibi ambao ugaidi wanaoufanya kwa nchi za Asia na Africa ni afadhali ya Osama na kundi la Haram la Nigeria. Ni hizi nchi za magharibi zinazotufanya mpaka leo watanzania tukawa masikini hivi wakishirikiana na watawala wetu walioahidiwa maisha mazuri ulaya hususani Belgium (centre for African and Asian politics). Ukiangalia viongozi wetu woote wa africa na Asia wanamiliki majumba ya kifahari Ulaya. Sababu ni kwamba siku mkiamka na kudai vyenu wanakimbilia ulaya walipojiwekea maisha yao na ya watoto wao.

Kama kuna mtu anataka kuona haya aanzishe tu mfano wa upingaji wa kinachoendelea hapa nchini mara moja watamuita gaidi km ni muislam na ukiwa mkristo watakuita muasi. ikiwa na maana kwamba hutakiwi kupinga wanayofanya ma bwana wakubwa kwani wao ndo wamepewa dhamana na mungu kula mali zetu.

Nadhani ifike kipindi sasa watu wajue nini uislam na nini ni ugaidi bila hivyo tutajikuta tukichukiana bila sababu.

Hawa wenzetu asili hasa ya kupigania nchi zao zindeshwe ki islaam ni kwamba wanaamini ktk uislam muongozo thabiti ndipo utakapopatikana kwa sababu kuu zifuatazo:

1. Ni sheria za kiislam ambazo hazina matundu ya kutokea wala ubabaishaji, km mtu kaiba hukumu yake ni kukata mkono basi hakuna la kujadili.

2. Viongozi wasiokuwa na dini si viongozi ni mashetani, hawezi kuwa na huruma kwa jamii wanayoingoza na ndio maana unaona huyu mpagani bwana kingunge anapinga hata vitu vya msingi (waraka wa wakotoliki) bila hata kueleza mapungufu yake inakuwa shida.

Nawaomba ndugu zangu watanzania tuwe makini na hii dunia ya kimagharibi ambayo lengo lake kubwa ni kuvuna mali zetu wakishirikiana na ndugu zetu tuliowapa jukumu ya kuzilinda bila ya huruma kwa masikini wa nchi hii amabao hawajui mkate wao wa kesho ni nini.

kwa suala la sharia kuwa kali ni sawa, lakini China mbona haina sharia na mambo yanakwenda vizuri? mbona wahalifu wananyongwa kila siku bila kujali cheo wala mali zao?? hapa TZ na nchi nyingine za afrika kinacho kosekana ni nia thabiti ya kutekeleza sheria zilizopo na hiyo ni weakness ya watawala walioko madarakani.

Huwezi kusema wanaoiba mali ya nchi na kuweka nchi nyingine kama chenge nia yao ni baadaye waende kuishi huko, hilo siyo kweli kwa sababu hata mwizi wa kawaida huweza kuficha mali alizoiba sehemu nyingine ili kufisha ushahidi pindi akikamatwa. Kinacho takiwa ni serikali zinazokuwa madarakani kutaifisha mali iliyofichwa nje ya nchi, lakini tunarudi pale pale kuwa wezi ni hao hao viongozi.

Napinga hoja yako eti tukiwa ni nchi ya kiislamu basi tutaweza kudhibiti u-magharibi, mbona u-magharibi ni mzuri tu!! kinacho hitajika ni kuwa wa kweli na kudumisha demokrasia ya kweli. Wewe hujatembea nchi za kiislamu ukaona mateso wanayopata wananchi, hasa wanawake.

swali langu ambalo waislamu hawajawahi kuliji ni "kwa nini magaidi watumie dini ya kiislamu kufanya mauaji na hamuwakani kuwa siyo wenzenu?? Je, waislamu mtajitengaje na magaidi ili hali mmeshindwa kuwakana hadharani??"

kwa kumalizia, chonde chonde, mmwambie kabisa shehe ponda kwamba TZ hatutaki boko haram, hata boko isiyo haram hatutaki!!

hakuna maisha na utamaduni ulio wa huru na haki kama wa ki-magharibi, ndo maana wenzetu magharibi wana maendeleo!!
 
jamani ukristo naye ime sha pita humu........ angali passion of the christ na pia jifunze the period of inquisition na utaifahamu nini imetokea...usi laumu waislamu lakini ujue ssa inayo tumika na CIA ...

Pamoja na mapungufu ya CIA, bado hawafikii uchafu unaofanywa na magaidi kupitia uislamu.
 
jamani ukristo naye ime sha pita humu........ angali passion of the christ na pia jifunze the period of inquisition na utaifahamu nini imetokea...usi laumu waislamu lakini ujue ssa inayo tumika na CIA ...

Passion of the Christ was about Jesus' crucifixion by the Romans. What does that have to do with what Boko Haram or any group like that is doing? What is the comparison there?

Hajui hata anaongea nini! Msamehe bure tu.

Pamoja na mapungufu ya CIA, bado hawafikii uchafu unaofanywa na magaidi kupitia uislamu.

Mwanafalsafa1,
Shabani kasema kweli.

Enzi za inquisition, watu walikuwa wanauawa kwa kusemwa kuwa wao ni wachawi, wanaamini dunia ni duara, nk. Na aliyetoa amri alikuwa ni kiongozi wa kanisa la Kikristo. Kuna film niliangalia jamaa walipoona wanateseka sana waliamua kutafuta dawa. Ilikuwa mtu yeyote akisema wewe ni mchawi na aanze kusema KIROHO, basi wewe kweli mchawi. Siku moja walimsubiri Mfalme aje. Alipokuja tu na mkewe, binti mmoja akaanza kulia kuwa yule mama mke wa mfalme ni mchawi. Duuu, ilikuwa kasheshe. Padre hakujua afanyeje na Mfalme ndiyo akaona kuwa kumbe umefanyika unyama mkubwa sana. Ilikuwa nikimtamani tu mkeo au shamba lako au nyumba, basi namtuma binti ambaye anaanza kuzoza kuwa wewe ni mchawi. Mfalme akaipiga hii kitu MARUFUKU.

Ukija kwenye hiyo njia ya MSALABA, unaweza kuangalia film ya "Kingdom of Heaven" ambayo maelezo yake yanasema "The story is set during the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Crusades"]Crusades[/ame] of the 12th century."
Mwanzo nilikuwa nikisikia NJIA YA MSALABA nilidhani ni kile kipindi Yesu anasulubishwa. Ila hii ilikuja kubadilika baada ya rafiki yangu mmoja ndugu yangu Joseph, aliyesoma historia vizuri tu kuniambia kuwa "Waislaam itabidi waje wafanye kazi ya ziada kufikia idadi ya watu waliouawa na wakristo wakati wa njia ya Msalaba". Hata Papa John Paul II alipoenda Turky kama sikosei, aliomba msamaha kwa UNYAMA uliofanywa na Wakatoliki kwa jina la Yesu/Mungu.

Nafikiri Waislaam ingelibidi wajifunze kutokana na makosa yaliyofanywa na Wakristo zamani. Haya mauwaji hayatawafikirisha popote. Kwa sisi waafrica ni kuwa tunaingizwa kwenye VITA isiyotuhusu. Nina kila imani kuwa OSAMA na CIA ni ndugu mmoja. Kuna Waarabu kama Egypt na Saudi Arabia wanamsaidia Mu-Izrael ili Muiran na Syria wasiwe Super Power na kuwaondoa viongozi wao Madarakani na kuleta jamaa wa SIASA KALI.

Haya mambo ya BOKO HARAM ni ushamba mwingine. Njaa zinafanya watu watafute pakutokea. Wewe hutaki curture yao hao MASHOGA ila kila siku unaenda kutumia mobile phones, magari, TV, nguo, electronics goods nk nk vilivyokuwa designed au kutengenezwa na hao MAKAFIRI/Mashoga? Mbona haingii akilini? Hotel kama Kempinski Tanzania mbona za Waarabu? Lakini ndani pombe, ufuska, madisco na tunafahamu wote kuwa hata Mange Kimambi, mtoto wa Kiislaam alipigwa kwenye hotel ya WAARABU.

Tusiwe watu wa kumeza bila kutafuna. Ukitafuna, utaona mchanga uko wapi na utajitahidi uuteme na kubakiza chakula tu. Haya mambo ya kudaka kitu kizimakizima ni kama kudandia Train la umeme kwa mbele. Si kwa Waislaam au Wakristo au madhehemu mengine, ni kuwa TUTAISHIA PABAYA.
Mungu Ibariki Africa, Mungu Ibariki Tanzania.
 
Siku zote mwakimbilia ushoga, lakini hili la boko haram mnalo!!! Oh!... nyinyi makafiri...sasa mnatangaza kabisa uhusiano wenu na osama bin laden ...loh... kweli mmepatikana ubishi wote umewaishia.


USHOGA SI NDIO UPENDO ?????. ENDELEA TU KUPEWA SACRAMENTO NA MAASKOFU HAWA WANAOENDESHA MISA HUKU VISHUZI VIKIWATOKA PYU ...PYU...PYU

HAKI-AFRIKA KUSINI:
Utata wa Ndoa Wakati wa Ubaguzi wa Mashoga [FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Christi van der Westhuizen[/FONT] [FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]

Bongani*, akiwa katika suti nzuri nyeupe, alikuwa katika gari aina ya Mercedes Benz lililopambwa kwa riboni za rangi ya dhahabu. Pembeni mwake anaonekana Sipho* akiwa katika suti nyeusi na tai ya rangi ya njano. Ilikuwa siku yao ya ndoa.

JOHANNESBURG, Desemba 3 (IPS) -
Siku ya Jumamosi, Desemba 2 walifanya tukio la kihistoria kwa kuwa wanandoa wa kwanza mashoga kutambuliwa kwa mara ya kwanza kisheria kama wanandoa katika sherehe ya kidini nchini Afrika Kusini, na katika bara la Afrika.

Tukio hili lilikuja baada ya bunge la pili la Afrika Kusini kupitisha sheria iliyosubiriwa kwa hamu ya Muungano wa Kiraia Novemba 28, na hivyo kuruhusu wasagaji na mashoga kuingia katika mahusiano ya kiraia au kuoana – na kuwapa haki zote na ulinzi kisheria kama ilivyo kwa ndoa nyingine za mwanaume na mwanamke nchini Afrika Kusini.

Nosiviwe Mapisa-Nqakula, waziri wa mambo ya ndani wa Afrika Kusini, alitoa barua ya kumfanya Mchungaji Janine Preesman wa makanisa ya "Glorious Light Metropolitan Community Churches" kuwa ofisa wa kwanza wa ndoa ya kidini inayotoa haki ya kuoana kwa wasagaji au mashoga chini ya sheria hiyo.

Preesman aliongoza sherehe pamoja na Mchungaji Nokuthula Dhladhla katika kanisa katika jiji maarufu kibiashara la Afrika Kusini, Johannesburg. Wasimamizi wa ndoa wa Bongani walivalia makoti yaliyokuwa na sufu iliyong’ara na kushikilia maua mikononi mwao, wakati wasimamizi wa Sipho walikuwa wamevalia suti nyeusi na miwani ya jua.

Sherehe hiyo ilikuwa ya aina yake, ikiwa imehudhuria na mamia ya wageni wakivalia fasheni bora zaidi mjini Johannesburg. Bibi wawili wa maharusi, wakiwa wamevalia makofia makubwa meupe, kwanza walipelekwa kanisani kabla ya wanafamilia wengine wenye watoto kuingia ndani.

Nyimbo za kusifu za jadi zilikumbusha wale waliohudhuria mambo mengi ya wenyeji wao. Wageni walionekana wakilia machozi wakati maharusi walipokula kiapo cha ahadi na upendo kwa kila mmoja wao.

Wageni walioshangilia na kupiga makofi waliwaona maharusi wakiondoka katika Peugeot ya wazi ya rangi ya fedha, huku Bongani aliyejawa na furaha akiwapungia mkono kwa kutumia chetu cha ndoa. Baada ya hapo sherehe ilifanyika.

Wakati ambapo walikuwa ni wanandao wa kwanza wa jinsi moja kuoana katika sherehe ya kidini, siyo mashoga wa kwanza kuona chini ya sheria hiyo. Maofisa wa wanyamapori wawili, Tony Halls na Vernon Gibbs, waliozeshwa na ofisa wa mambo ya ndani katika mji wa George kusini mwa nchi hiyo, Ijumaa, Desemba 1.

Katika mahojiano na IPS, Dhladhla alikanusha maoni ya wanajadi kuwa ushoga siyo suala la Kiafrika. "Mimi ni mtu ambaye Mungu aliniumba. Ni Mwafrika, anayesema lolote aseme. Sote siyo sawa. Mungu alituumba tofauti."

Wakati Bongani na Sipho walikuwa na haki ya kuoana, kutaka kwao wasitajwe majina kunaonyesha pengo kati ya haki za kisheria na kuendelea kwa ubaguzi wa kijamii, alisema Jaji Melanie, ambaye aliongoza kampeni ya ndoa kama meneja programu katika shirika la wasagaji na mashoga (OUT).

Dhladhla alielezea kuwa Bongani na Sipho walikuwa "wana wasiwasi juu ya usalama wao kwasababu baadhi ya watu wana hasira juu ya kupitishwa kwa Sheria ya Muungano wa Raia."

Mashirika ya wasagaji na mashoga ambayo sasa yanashiriki katika mpango wa "African Peer Review Mechanism (APRM) nchini Afrika Kusini yalielezea kuendelea kubaguliwa kwa wasagaji na mashoga. Suala hilo lilizungumzwa katika ripoti ya APRM nchini humo, na serikali ilionya kuchukua hatua zaidi kutatua tatizo hilo.

APRM inahusu kupitia hali ya kiutawala katika sekta kadhaa katika nchi wanachama wa Umoja wa Afrika ambao wanakubali kufanyiwa hivyo. Mchakato wa kukagua unafanywa na jopo la watu saba wanaotoka maeneo mbalimbali katika bara.

Nchini Afrika Kusini, upinzani wa kupinga ndoa za mashoga ulifika bungeni, ambapo baadhi ya wabunge wa chama tawala cha African National Congress (ANC) walitishia kuvuka mipaka juu ya suala hilo.

Muungano usiokuwa rasmi uliibuka kati ya wanajadi wa Kiafrika na Wakristo wahafidhina, huku kukiwa na wito wa katiba huru zaidi ya kidemokrasia nchini humo kufanyiwa marekebisho, kuondoa kifungu ambacho kinapinga ubaguzi kwa misingi ya upendeleo wa mapenzi.

Baadae madai haya yalibadilika na kusisitiza juu ya kulinda ndoa kama "taasisi ya mapenzi kati ya mwanaume na mwanamke" katika katiba.

Viongozi wa juu wa ANC waliingilia kati, na kubainisha uhusiano kati ya haki za binadamu katika chama na haki za binadamu za wasagaji na mashoga. Muswada huo ulipopitishwa Waziri wa Ulinzi, Mosiuoa Lekota, aliliambia bunge kuwa "suala mbele yetu siyo kama ndoa za jinsi moja au muungano wa kiraia ni mzuri au hapana.

"Suala ni kama tunakandamiza wale waliopo katika jamii zetu ambao wanapendelea kuwa na wapenzi wa jinsi moja...Hatuna haki za kuhifadhi ndani mwetu, hatuna kabisa kwasababu wingi wa wanachama wetu, wana haki ya kipekee ya ndoa ambapo tunakatalia wengine wasiwe na haki hiyo."

Lekota alisema kuwa "katika harakati yoyote ile ndefu na ngumu ya kuleta demokrasia wanaume wengi sana na wanawake wanaopenda kufanya mapenzi na wenzao wa jinsi moja walijiunga katika jitihada za ukombozi na kuleta demokrasia. Ni kwa nini sasa, tunaweza kuishi na ukweli ambao unaweza kufaidi haki ambazo tulipigania pamoja bega kwa bega, na kuwanyima haki hizo?

"Hatuwapendelei lakini kutambua jitihada zao kama ilivyo kwa jitihada zetu zilivyotuzwa.

"Nchi hii haiwezi kuendelea kuwa mfungwa wa nyuma, kuwa na ubaguzi ambao hauna msingi. Muda umefika ambapo sisi kama jamii, sisi kama wabunge, kwa niaba ya taifa letu, ni lazima tuwe viongozi," alisema.

Jaji alisema kupitishwa kwa Sheria ya Muungano wa Kiraia kunatoa fursa kwa viongozi wa kisiasa nchini Afrika Kusini kuwa wakala wa mabadiliko kuleta haki za binadamu katika mataifa ya Afrika, bila kujali matamanio yao kimapenzi.

"Kupitishwa kwa sheria ni muda wa kipekee kwa bara la Afrika kwa ujumla ambako mapenzi ya jinsi moja bado yanafanywa kimya kimya, katika miiko na kwa kiasi kikubwa yanaonekana kama makosa ya jinai."

Mageuzi ya kisheria ya Afrika Kusini juu ya wanandoa wa jinsi moja "yanaonyesha ugumu wa kuondokana na ukandamizaji wa mara kwa mara wa wasagaji na mashoga barani Afrika," alisema. Katika nchi kama Nigeria, Uganda na Ghana mapambano dhidi ya mashoga na wasagaji yameshuhudiwa kutokana na mambo yaliyojitokeza nchini Afrika Kusini.

* Majina yamebadilishwa kulinda utambulisho wa mtu husika
[/FONT]
 
USHOGA SI NDIO UPENDO ?????. ENDELEA TU KUPEWA SACRAMENTO NA MAASKOFU HAWA WANAOENDESHA MISA HUKU VISHUZI VIKIWATOKA PYU ...PYU...PYU

HAKI-AFRIKA KUSINI:
Utata wa Ndoa Wakati wa Ubaguzi wa Mashoga [FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Christi van der Westhuizen[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Bongani*, akiwa katika suti nzuri nyeupe, alikuwa katika gari aina ya Mercedes Benz lililopambwa kwa riboni za rangi ya dhahabu. Pembeni mwake anaonekana Sipho* akiwa katika suti nyeusi na tai ya rangi ya njano. Ilikuwa siku yao ya ndoa. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]JOHANNESBURG, Desemba 3 (IPS) - [/FONT][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Siku ya Jumamosi, Desemba 2 walifanya tukio la kihistoria kwa kuwa wanandoa wa kwanza mashoga kutambuliwa kwa mara ya kwanza kisheria kama wanandoa katika sherehe ya kidini nchini Afrika Kusini, na katika bara la Afrika. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Tukio hili lilikuja baada ya bunge la pili la Afrika Kusini kupitisha sheria iliyosubiriwa kwa hamu ya Muungano wa Kiraia Novemba 28, na hivyo kuruhusu wasagaji na mashoga kuingia katika mahusiano ya kiraia au kuoana – na kuwapa haki zote na ulinzi kisheria kama ilivyo kwa ndoa nyingine za mwanaume na mwanamke nchini Afrika Kusini. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Nosiviwe Mapisa-Nqakula, waziri wa mambo ya ndani wa Afrika Kusini, alitoa barua ya kumfanya Mchungaji Janine Preesman wa makanisa ya "Glorious Light Metropolitan Community Churches" kuwa ofisa wa kwanza wa ndoa ya kidini inayotoa haki ya kuoana kwa wasagaji au mashoga chini ya sheria hiyo. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Preesman aliongoza sherehe pamoja na Mchungaji Nokuthula Dhladhla katika kanisa katika jiji maarufu kibiashara la Afrika Kusini, Johannesburg. Wasimamizi wa ndoa wa Bongani walivalia makoti yaliyokuwa na sufu iliyong’ara na kushikilia maua mikononi mwao, wakati wasimamizi wa Sipho walikuwa wamevalia suti nyeusi na miwani ya jua. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Sherehe hiyo ilikuwa ya aina yake, ikiwa imehudhuria na mamia ya wageni wakivalia fasheni bora zaidi mjini Johannesburg. Bibi wawili wa maharusi, wakiwa wamevalia makofia makubwa meupe, kwanza walipelekwa kanisani kabla ya wanafamilia wengine wenye watoto kuingia ndani. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Nyimbo za kusifu za jadi zilikumbusha wale waliohudhuria mambo mengi ya wenyeji wao. Wageni walionekana wakilia machozi wakati maharusi walipokula kiapo cha ahadi na upendo kwa kila mmoja wao. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Wageni walioshangilia na kupiga makofi waliwaona maharusi wakiondoka katika Peugeot ya wazi ya rangi ya fedha, huku Bongani aliyejawa na furaha akiwapungia mkono kwa kutumia chetu cha ndoa. Baada ya hapo sherehe ilifanyika. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Wakati ambapo walikuwa ni wanandao wa kwanza wa jinsi moja kuoana katika sherehe ya kidini, siyo mashoga wa kwanza kuona chini ya sheria hiyo. Maofisa wa wanyamapori wawili, Tony Halls na Vernon Gibbs, waliozeshwa na ofisa wa mambo ya ndani katika mji wa George kusini mwa nchi hiyo, Ijumaa, Desemba 1. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Katika mahojiano na IPS, Dhladhla alikanusha maoni ya wanajadi kuwa ushoga siyo suala la Kiafrika. "Mimi ni mtu ambaye Mungu aliniumba. Ni Mwafrika, anayesema lolote aseme. Sote siyo sawa. Mungu alituumba tofauti." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Wakati Bongani na Sipho walikuwa na haki ya kuoana, kutaka kwao wasitajwe majina kunaonyesha pengo kati ya haki za kisheria na kuendelea kwa ubaguzi wa kijamii, alisema Jaji Melanie, ambaye aliongoza kampeni ya ndoa kama meneja programu katika shirika la wasagaji na mashoga (OUT). [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Dhladhla alielezea kuwa Bongani na Sipho walikuwa "wana wasiwasi juu ya usalama wao kwasababu baadhi ya watu wana hasira juu ya kupitishwa kwa Sheria ya Muungano wa Raia." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mashirika ya wasagaji na mashoga ambayo sasa yanashiriki katika mpango wa "African Peer Review Mechanism (APRM) nchini Afrika Kusini yalielezea kuendelea kubaguliwa kwa wasagaji na mashoga. Suala hilo lilizungumzwa katika ripoti ya APRM nchini humo, na serikali ilionya kuchukua hatua zaidi kutatua tatizo hilo. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]APRM inahusu kupitia hali ya kiutawala katika sekta kadhaa katika nchi wanachama wa Umoja wa Afrika ambao wanakubali kufanyiwa hivyo. Mchakato wa kukagua unafanywa na jopo la watu saba wanaotoka maeneo mbalimbali katika bara. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Nchini Afrika Kusini, upinzani wa kupinga ndoa za mashoga ulifika bungeni, ambapo baadhi ya wabunge wa chama tawala cha African National Congress (ANC) walitishia kuvuka mipaka juu ya suala hilo. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Muungano usiokuwa rasmi uliibuka kati ya wanajadi wa Kiafrika na Wakristo wahafidhina, huku kukiwa na wito wa katiba huru zaidi ya kidemokrasia nchini humo kufanyiwa marekebisho, kuondoa kifungu ambacho kinapinga ubaguzi kwa misingi ya upendeleo wa mapenzi. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Baadae madai haya yalibadilika na kusisitiza juu ya kulinda ndoa kama "taasisi ya mapenzi kati ya mwanaume na mwanamke" katika katiba. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Viongozi wa juu wa ANC waliingilia kati, na kubainisha uhusiano kati ya haki za binadamu katika chama na haki za binadamu za wasagaji na mashoga. Muswada huo ulipopitishwa Waziri wa Ulinzi, Mosiuoa Lekota, aliliambia bunge kuwa "suala mbele yetu siyo kama ndoa za jinsi moja au muungano wa kiraia ni mzuri au hapana. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Suala ni kama tunakandamiza wale waliopo katika jamii zetu ambao wanapendelea kuwa na wapenzi wa jinsi moja...Hatuna haki za kuhifadhi ndani mwetu, hatuna kabisa kwasababu wingi wa wanachama wetu, wana haki ya kipekee ya ndoa ambapo tunakatalia wengine wasiwe na haki hiyo." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Lekota alisema kuwa "katika harakati yoyote ile ndefu na ngumu ya kuleta demokrasia wanaume wengi sana na wanawake wanaopenda kufanya mapenzi na wenzao wa jinsi moja walijiunga katika jitihada za ukombozi na kuleta demokrasia. Ni kwa nini sasa, tunaweza kuishi na ukweli ambao unaweza kufaidi haki ambazo tulipigania pamoja bega kwa bega, na kuwanyima haki hizo? [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Hatuwapendelei lakini kutambua jitihada zao kama ilivyo kwa jitihada zetu zilivyotuzwa. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Nchi hii haiwezi kuendelea kuwa mfungwa wa nyuma, kuwa na ubaguzi ambao hauna msingi. Muda umefika ambapo sisi kama jamii, sisi kama wabunge, kwa niaba ya taifa letu, ni lazima tuwe viongozi," alisema. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Jaji alisema kupitishwa kwa Sheria ya Muungano wa Kiraia kunatoa fursa kwa viongozi wa kisiasa nchini Afrika Kusini kuwa wakala wa mabadiliko kuleta haki za binadamu katika mataifa ya Afrika, bila kujali matamanio yao kimapenzi. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Kupitishwa kwa sheria ni muda wa kipekee kwa bara la Afrika kwa ujumla ambako mapenzi ya jinsi moja bado yanafanywa kimya kimya, katika miiko na kwa kiasi kikubwa yanaonekana kama makosa ya jinai." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mageuzi ya kisheria ya Afrika Kusini juu ya wanandoa wa jinsi moja "yanaonyesha ugumu wa kuondokana na ukandamizaji wa mara kwa mara wa wasagaji na mashoga barani Afrika," alisema. Katika nchi kama Nigeria, Uganda na Ghana mapambano dhidi ya mashoga na wasagaji yameshuhudiwa kutokana na mambo yaliyojitokeza nchini Afrika Kusini. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]* Majina yamebadilishwa kulinda utambulisho wa mtu husika[/FONT]


Pamoja na yoote uliyoandika hapo juu bado mnalo....muislamu hawezi kutenganishwa na osama bin laden hivyo palipo na muislamu kuna ugaidi. Kumbe pale mwembe chai kama si serikali kuwa imara tayari boko haram mlikuwa mnakamilisha mipango yenu ya kutuangamiza?? Loh....!!

Ukienda Zanzibar 90% ya mashoga ni akina Ali, mohamed n.k. sijui kama hao ni wakristu.
 
USHOGA SI NDIO UPENDO ?????. ENDELEA TU KUPEWA SACRAMENTO NA MAASKOFU HAWA WANAOENDESHA MISA HUKU VISHUZI VIKIWATOKA PYU ...PYU...PYU

HAKI-AFRIKA KUSINI:
Utata wa Ndoa Wakati wa Ubaguzi wa Mashoga [FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Christi van der Westhuizen[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Bongani*, akiwa katika suti nzuri nyeupe, alikuwa katika gari aina ya Mercedes Benz lililopambwa kwa riboni za rangi ya dhahabu. Pembeni mwake anaonekana Sipho* akiwa katika suti nyeusi na tai ya rangi ya njano. Ilikuwa siku yao ya ndoa. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]JOHANNESBURG, Desemba 3 (IPS) - [/FONT][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Siku ya Jumamosi, Desemba 2 walifanya tukio la kihistoria kwa kuwa wanandoa wa kwanza mashoga kutambuliwa kwa mara ya kwanza kisheria kama wanandoa katika sherehe ya kidini nchini Afrika Kusini, na katika bara la Afrika. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Tukio hili lilikuja baada ya bunge la pili la Afrika Kusini kupitisha sheria iliyosubiriwa kwa hamu ya Muungano wa Kiraia Novemba 28, na hivyo kuruhusu wasagaji na mashoga kuingia katika mahusiano ya kiraia au kuoana – na kuwapa haki zote na ulinzi kisheria kama ilivyo kwa ndoa nyingine za mwanaume na mwanamke nchini Afrika Kusini. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Nosiviwe Mapisa-Nqakula, waziri wa mambo ya ndani wa Afrika Kusini, alitoa barua ya kumfanya Mchungaji Janine Preesman wa makanisa ya "Glorious Light Metropolitan Community Churches" kuwa ofisa wa kwanza wa ndoa ya kidini inayotoa haki ya kuoana kwa wasagaji au mashoga chini ya sheria hiyo. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Preesman aliongoza sherehe pamoja na Mchungaji Nokuthula Dhladhla katika kanisa katika jiji maarufu kibiashara la Afrika Kusini, Johannesburg. Wasimamizi wa ndoa wa Bongani walivalia makoti yaliyokuwa na sufu iliyong’ara na kushikilia maua mikononi mwao, wakati wasimamizi wa Sipho walikuwa wamevalia suti nyeusi na miwani ya jua. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Sherehe hiyo ilikuwa ya aina yake, ikiwa imehudhuria na mamia ya wageni wakivalia fasheni bora zaidi mjini Johannesburg. Bibi wawili wa maharusi, wakiwa wamevalia makofia makubwa meupe, kwanza walipelekwa kanisani kabla ya wanafamilia wengine wenye watoto kuingia ndani. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Nyimbo za kusifu za jadi zilikumbusha wale waliohudhuria mambo mengi ya wenyeji wao. Wageni walionekana wakilia machozi wakati maharusi walipokula kiapo cha ahadi na upendo kwa kila mmoja wao. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Wageni walioshangilia na kupiga makofi waliwaona maharusi wakiondoka katika Peugeot ya wazi ya rangi ya fedha, huku Bongani aliyejawa na furaha akiwapungia mkono kwa kutumia chetu cha ndoa. Baada ya hapo sherehe ilifanyika. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Wakati ambapo walikuwa ni wanandao wa kwanza wa jinsi moja kuoana katika sherehe ya kidini, siyo mashoga wa kwanza kuona chini ya sheria hiyo. Maofisa wa wanyamapori wawili, Tony Halls na Vernon Gibbs, waliozeshwa na ofisa wa mambo ya ndani katika mji wa George kusini mwa nchi hiyo, Ijumaa, Desemba 1. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Katika mahojiano na IPS, Dhladhla alikanusha maoni ya wanajadi kuwa ushoga siyo suala la Kiafrika. "Mimi ni mtu ambaye Mungu aliniumba. Ni Mwafrika, anayesema lolote aseme. Sote siyo sawa. Mungu alituumba tofauti." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Wakati Bongani na Sipho walikuwa na haki ya kuoana, kutaka kwao wasitajwe majina kunaonyesha pengo kati ya haki za kisheria na kuendelea kwa ubaguzi wa kijamii, alisema Jaji Melanie, ambaye aliongoza kampeni ya ndoa kama meneja programu katika shirika la wasagaji na mashoga (OUT). [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Dhladhla alielezea kuwa Bongani na Sipho walikuwa "wana wasiwasi juu ya usalama wao kwasababu baadhi ya watu wana hasira juu ya kupitishwa kwa Sheria ya Muungano wa Raia." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mashirika ya wasagaji na mashoga ambayo sasa yanashiriki katika mpango wa "African Peer Review Mechanism (APRM) nchini Afrika Kusini yalielezea kuendelea kubaguliwa kwa wasagaji na mashoga. Suala hilo lilizungumzwa katika ripoti ya APRM nchini humo, na serikali ilionya kuchukua hatua zaidi kutatua tatizo hilo. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]APRM inahusu kupitia hali ya kiutawala katika sekta kadhaa katika nchi wanachama wa Umoja wa Afrika ambao wanakubali kufanyiwa hivyo. Mchakato wa kukagua unafanywa na jopo la watu saba wanaotoka maeneo mbalimbali katika bara. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Nchini Afrika Kusini, upinzani wa kupinga ndoa za mashoga ulifika bungeni, ambapo baadhi ya wabunge wa chama tawala cha African National Congress (ANC) walitishia kuvuka mipaka juu ya suala hilo. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Muungano usiokuwa rasmi uliibuka kati ya wanajadi wa Kiafrika na Wakristo wahafidhina, huku kukiwa na wito wa katiba huru zaidi ya kidemokrasia nchini humo kufanyiwa marekebisho, kuondoa kifungu ambacho kinapinga ubaguzi kwa misingi ya upendeleo wa mapenzi. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Baadae madai haya yalibadilika na kusisitiza juu ya kulinda ndoa kama "taasisi ya mapenzi kati ya mwanaume na mwanamke" katika katiba. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Viongozi wa juu wa ANC waliingilia kati, na kubainisha uhusiano kati ya haki za binadamu katika chama na haki za binadamu za wasagaji na mashoga. Muswada huo ulipopitishwa Waziri wa Ulinzi, Mosiuoa Lekota, aliliambia bunge kuwa "suala mbele yetu siyo kama ndoa za jinsi moja au muungano wa kiraia ni mzuri au hapana. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Suala ni kama tunakandamiza wale waliopo katika jamii zetu ambao wanapendelea kuwa na wapenzi wa jinsi moja...Hatuna haki za kuhifadhi ndani mwetu, hatuna kabisa kwasababu wingi wa wanachama wetu, wana haki ya kipekee ya ndoa ambapo tunakatalia wengine wasiwe na haki hiyo." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Lekota alisema kuwa "katika harakati yoyote ile ndefu na ngumu ya kuleta demokrasia wanaume wengi sana na wanawake wanaopenda kufanya mapenzi na wenzao wa jinsi moja walijiunga katika jitihada za ukombozi na kuleta demokrasia. Ni kwa nini sasa, tunaweza kuishi na ukweli ambao unaweza kufaidi haki ambazo tulipigania pamoja bega kwa bega, na kuwanyima haki hizo? [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Hatuwapendelei lakini kutambua jitihada zao kama ilivyo kwa jitihada zetu zilivyotuzwa. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Nchi hii haiwezi kuendelea kuwa mfungwa wa nyuma, kuwa na ubaguzi ambao hauna msingi. Muda umefika ambapo sisi kama jamii, sisi kama wabunge, kwa niaba ya taifa letu, ni lazima tuwe viongozi," alisema. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Jaji alisema kupitishwa kwa Sheria ya Muungano wa Kiraia kunatoa fursa kwa viongozi wa kisiasa nchini Afrika Kusini kuwa wakala wa mabadiliko kuleta haki za binadamu katika mataifa ya Afrika, bila kujali matamanio yao kimapenzi. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]"Kupitishwa kwa sheria ni muda wa kipekee kwa bara la Afrika kwa ujumla ambako mapenzi ya jinsi moja bado yanafanywa kimya kimya, katika miiko na kwa kiasi kikubwa yanaonekana kama makosa ya jinai." [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mageuzi ya kisheria ya Afrika Kusini juu ya wanandoa wa jinsi moja "yanaonyesha ugumu wa kuondokana na ukandamizaji wa mara kwa mara wa wasagaji na mashoga barani Afrika," alisema. Katika nchi kama Nigeria, Uganda na Ghana mapambano dhidi ya mashoga na wasagaji yameshuhudiwa kutokana na mambo yaliyojitokeza nchini Afrika Kusini. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]* Majina yamebadilishwa kulinda utambulisho wa mtu husika[/FONT]

Mzee mbona unabandika tu post kutoka gazeti la al huda? Kusema kweli ndugu zetu waislamu muwe wakweli tu kwamba mlipotea njia na muanze kuondoka huko kwenye dini ya shetani, dini gani wewe umeona inafundisha kuua??? Shoga yeye na raha zake, sasa wewe kujivika bomu na kufa na wengine wasio na hatia bado unona hiyo ni dini?? kweli pamoja na elimu?? (madrasa...lol)
 
Tatizo akina Buchananan hawajui ukiristo ulianzia wapi,sasa wanateseka na kubatizwa.
Hivi huelewi hao waliowabatiza walipita njia zipi hadi wakakufikia wewe ? Wait & see ,maana huelewi hata ile dini ya ubatizaji ilipoanzia wakipita wakiua vichanga hadi kukufikieni nyie mnaoambiwa msukume gari ikishika mnaambiwa ni muujiza ,akili zenu zimekufa na hazifikiri chochote kile ,zipo tu kungojea ubatizwaji ,yaani hata huo umri wa kubatizwa sijui kama mnauelewa ,sasa hata haya mambo mnayoyafuata ni ya kubatiza batiza tu au kwa kilugha tunasema kubambikiza na baya kabisa hamruhusiwi kuhoji.
Moderator endelea kushangilia nakuja.
 
Gavana,
Na wewe unafanya makosa yaleyale tunayosema kwamba "sisi Waafrica/Watanzania na tuwe Watanzania na si Waislaam au Wakristo. Umeambiwa Wachina wanauwa Vibaka bila kutumia jina la Mungu - Safi sana, walau wao wanamuheshimu Mungu ingawa hawajui hilo. Sisi hatuwezi kukemea mambo ya ushoga bila ya kutumia DINI? Huwezi kukemea mambo ya wizi bila kutumia dini? Mbona twadandia mambo ya watu bila hata kuyafahamu kwa undani?

Wee hapa Gavana unatumia Computer na Internet. Unauhakika gani kwamba hizo programs na computer unazotumia, MKONO WA SHOGA ulihusika kutengeneza? Au yale ya Baniani mbaya kiatu chake kizuri? Mbona tunakuwa WASHAMBA namna hiyo?

Kama jamii ya Kitanzania tunaona USHOGA hautufai, basi na tuseme kwa kutumia MILA zetu na si DINI zetu. Kimila haya mambo yanajulikana wazi kabisa kama yanapendwa au hayapendwi katika jamii.
Ukweli utabaki wazi kabisa kuwa "shoga mie hatasababisha nisilale usingizi". Ila huyu Osama bin Laden na AL Qaid kwa kweli wanatupa sana wasiwasi. Hujui ni wapi na lini watajilipua na kutuuwa. Tukifa walau the game is over ila ukipata kilema cha maisha na kuanza kufanya kazi na Matonya pale Posta, that is too bad.

Tuache UDINI katika kushughulikia mambo haya. Na kama kuna mtu anajifanya mambo ya Wazungu hayataki, na aende huko Msituni ili asitumie Radio, gazeti, gari, mobile phones, shule za Wazungu nk nk. Vinginevyo mnalenu jambo na dawa yao ni kupeleka jeshi tu kwenda kuwatuliza watu na njaa zao/kupenda dezo. Hii ni kwa WAKRISTO, WAISLAAM na madhehubu mengine/wasio na dini.
 
Tatizo akina Buchananan hawajui ukiristo ulianzia wapi,sasa wanateseka na kubatizwa.
Hivi huelewi hao waliowabatiza walipita njia zipi hadi wakakufikia wewe ? Wait & see ,maana huelewi hata ile dini ya ubatizaji ilipoanzia wakipita wakiua vichanga hadi kukufikieni nyie mnaoambiwa msukume gari ikishika mnaambiwa ni muujiza ,akili zenu zimekufa na hazifikiri chochote kile ,zipo tu kungojea ubatizwaji ,yaani hata huo umri wa kubatizwa sijui kama mnauelewa ,sasa hata haya mambo mnayoyafuata ni ya kubatiza batiza tu au kwa kilugha tunasema kubambikiza na baya kabisa hamruhusiwi kuhoji.
Moderator endelea kushangilia nakuja.

Sasa hapa UMEONGEA NINI? Kama una akili ya kujua yote hayo juu, nilitegemea basi hata MAELEZO yako yawe ya kisomi zaidi. Kweli kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti.
 
Siku zote mwakimbilia ushoga, lakini hili la boko haram mnalo!!! Oh!... nyinyi makafiri...sasa mnatangaza kabisa uhusiano wenu na osama bin laden ...loh... kweli mmepatikana ubishi wote umewaishia.

Upendo si uko katika ukristo na ndio huu wa kupigana rungu za ******



na Irene Mark



KUNA kila dalili za mgawanyiko katika Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, unaosababishwa na matendo ya ushoga na usagaji.
Hali hiyo imedhihirika hivi karibuni baada ya kikao cha siku moja kilichofanyika mjini humo kilichohusisha baadhi ya waumini wa kanisa hilo Kanda ya Kati, wanaopinga ushoga na usagaji kanisani humo.
Kikao hicho kiliitishwa kama moja ya mikakati ya kuandaa na kuitisha mkutano wa waumini wote wa kanisa hilo katika dayosisi hiyo, ili kuwatenga waumini wanaokwenda kinyume cha maadili ya kanisa.
Lakini, gazeti hili limeambiwa kuwa mlengwa mkubwa wa mikakati hiyo ni Askofu Mkuu wa Dayosisi hiyo, Godfrey Mhogolo, ambaye ameponzwa na kauli yake kuwa anawapenda mashoga kama vile Yesu alivyowapenda watenda dhambi.
Kauli hiyo imetafsiriwa na waumini wengi ndani ya kanisa hilo, wakiwamo viongozi wengine wa ngazi za juu, kuwa askofu huyo anatetea mashoga, kinyume cha msimamo wa kanisa hilo nchini.
Vyanzo kutoka ndani ya kanisa hilo katika Dayosisi ya Dodoma, vimeifahamisha Tanzania Daima kuwa Askofu Mhogola anakabiliwa na tuhuma nyingine za kulifanya kanisa hilo kama taasisi yake binafsi.
Akizungumza kwa huzuni, mmoja wa viongozi wa kanisa hilo, alieleza kuwa kiini cha mgawanyiko huo ni ushoga na udikteta katika maamuzi unaofanywa na Askofu Mhogolo.
Inadaiwa kuwa Askofu Mhogolo anakiuka taratibu na mara kadhaa amechukua maamuzi ya kuwafukuza viongozi wa juu wa kanisa hilo, akiwamo Askofu Msaidizi wake, Ainea Kusenha.
Pamoja na tuhuma hizo, askofu huyo anadaiwa kuwatishia baadhi ya waumini wanaopinga matendo yake, kwa kuwazuia kushiriki masuala yahusuyo kanisa na kuwanyima haki yao ya msingi kama waumini wa kanisa hilo.
Kadhalika, Askofu Mhogolo anadaiwa kumfukuza kikatili mwakilishi wa walei kutohudhuria kwenye kikao kikuu cha dayosisi hiyo, kilichoshirikisha viongozi na maaskofu.
Inaelezwa kuwa Askofu Mhogolo, aliwahi kutoa kauli inayolenga kuwatetea mashoga, wakati wa mkutano wa maaskofu wakuu wa Anglikana uliofanyika Februari mwaka huu jijini Dar es Salaam, kitendo kilichowaudhi waumini hao.
Aidha, hatua ya askofu huyo kumfukuza kinyume cha taratibu msaidizi wake, kutokana na kupingana naye kuhusu msimamo wa kukumbatia mashoga na wasagaji, kumeibua sura mpya miongoni mwa waumini wa kanisa hilo.
Inadaiwa pia Askofu Mhogolo aliwahi kukiri hadharani kuwa anawapenda na hatawabagua wasagaji na mashoga kwa kuwa wote ni wana wa Mungu na mara kadhaa amekuwa akisema anawapenda kama Yesu alivyowapenda wenye dhambi.
“Kinachowaudhi waumini wa Dodoma ni ukatili anaowafanyia baadhi ya viongozi na waumini wanaopingana na msimamo wake.
“Tumechoshwa naye, na katika mkutano wa kesho (leo) tumeandaa agenda 10, lakini tatu kati ya hizo zitahusu tabia mbovu ya Askofu Mhogolo na tutahakikisha tunamtoa madarakani.
“Pamoja na mambo mengine, katika mkutano huo tutamtaka Askofu Mkuu Donald Mtetemela awe mwenyekiti wa Sinodi (Kikao cha Wakristu wote) kitakachofanyika Julai 4 hadi 7 mwaka huu na yeye atakuwa mjumbe wa kawaida tu.
“Tutazungumzia pia ukaidi wa Askofu Mhogolo na amri ya Askofu Mkuu, Mtetemela ya kutomrudisha madarakani Msaidizi wake, Askofu Kusenha, aliyemfukuza bila sababu za msingi, kitendo kilichowakera waumini wengi.
“Waumini pia tutahoji sababu za Askofu Mhogolo, kumfukuza kikatili kwenye kikao kikuu cha dayosisi mwakilishi wa walei…aliwanyima haki ya kupata habari za maendeleo ya kanisa waumini wote,” kilisema chanzo hicho kwa njia ya simu.
Hata hivyo, msuguano katika kanisa hilo ni wa muda mrefu unaodaiwa kusababisha baadhi ya waamini kukosa uaminifu kwa viongozi wao. Juhudi za kumpata Askofu Mhogolo kuzungumzia madai hayo hazikufanikiwa kwani kila mara simu yake ilipopigwa, ilikuwa haipatikani.
 
Mzee mbona unabandika tu post kutoka gazeti la al huda? Kusema kweli ndugu zetu waislamu muwe wakweli tu kwamba mlipotea njia na muanze kuondoka huko kwenye dini ya shetani, dini gani wewe umeona inafundisha kuua??? Shoga yeye na raha zake, sasa wewe kujivika bomu na kufa na wengine wasio na hatia bado unona hiyo ni dini?? kweli pamoja na elimu?? (madrasa...lol)



Nyerere kasema kweli Ujamaa na Ukristo vimeshindwa[FONT=Century Gothic,Trebuchet MS][/FONT]
Rejea habari zilzochapishwa katika gazeti la Msemakweli toleo nambari 013 la Jumapili Juni 7-13, 1998 yenye kichwa cha habari,"Nyerere adai Ujamaa na Ukristo vimeshindwa" likinukuu mahojiano yaliyofanyika katika kipindi cha maswali na majibu katika television ya CNN.
Nyerere alisema, "Ujamaa umeshindwa kama vile Ukristo ulivyoshindwa. Ukristo ulianza yapata miaka 2000 iliyopita na kila Jumapili niendapo Kanisani nakuta watu bado wanahubiri. Na kwa kweli sina hakika kama kuna nchi hata moja tunayoweza kuiita taifa la Kikristo."
Katika toleo hilo mwandishi wa Msemakweli akiripoti maoni ya Wakristo mbalimbali juu ya madai ya Nyerere.Wakristo wengi, wakiwemo Maprofesa na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo,walijitahidi sana kuutetea Ukristo kuwa haujashindwa bali Ujamaa ndio ulioshindwa peke yake. Moja ya sababu zilizotolewa ni kuwa Ujamaa umeshindwa kwa vile umetokana na mawazo ya mtu (Nyerere), wakati ukristo haujashindwa kwa sababu haukuanzishwa na mtu bali na Yesu (ambaye Wakristo wengi hudai ni Mungu aliye hai).
Nyerere anaitwa baba wa Taifa na ni mtu wa kimataifa na hivyo maneno yake yanakuwa na uzito wa aina yake katika jamii. Sidhani kama Nyerere alitoa madai haya kwa mzaha tu.
Nyerere ni muasisi wa ujamaa wa Tanzania na amebahatika kushuhudia ukisambaratika mbele ya macho yake, pamoja na juhudi zake za kuhakikisha ujamaa unadumu. Vile vileNyerere ameshuhudia waasisi wa mfumo huu duniani Urusi au Soviet Union ya zamani ikisambaratika bila hata risasi moja kufyatuliwa.
Sina sababu yoyote ya kutilia mashaka matamshi ya Nyerere ambaye, pamoja na kuwa ni muumini mzuri sana wa kanisa Katoliki, vile vile ametoa mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya Ukristo hapa Tanzania.
Naamini ametoa matamshi hayo kwa kutumia uzoefu wake wa kitaifa na wa kimataifa katika masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa. Kutokana na uzoefu huu Nyerere yuko katika nafasi nzuri sana ya kuchambua na kuongelea masuala haya.
Imeleweka wazi kuwa Ujamaa ni mfumo wa maisha ambao uliasisiwa na kina Karl Marx na Lenin, hawa ni binaadamu kama mimi na wewe.
Je, Ni kweli kuwa Ukristo (Christianity) ulianzishwa na Yesu, Mungu aliye hai? Biblia inatueleza kuwa Ukristo kwa mara ya kwanza ulianza pale Antiokia ambayo iko katika bara la Ulaya (soma Matendo ya mitume 11:26) miaka kadhaa baada ya Yesu kuwa amekwisha kamilisha kazi aliyotumwa na Baba yake hapa duniani.
Ikumbukwe hapa kuwa Yesu hakuwahi kufika Antiokia katika maisha yake yote ya hapa duniani. Na aliwakataza kabisa wanafunzi wake kupeleka mafundisho yake nje ya Israel (soma Mathayo: 10:5-6).
Hakuna hata sehemu moja katika Biblia tunapofahamishwa kuwa Yesu alileta mfumo mpya wa maisha hususan Ukristo. Yesu mwenyewe anatufahamisha kuwa hakuja kutangua mfumo alioukuta uliokuwepo toka wakati wa nabii Musa (ambao sio Ukristo), bali kuutimiliza (Mathayo: 5:17-20). Na kwa Wayahudi peke yao, na wala sio kwa Wazungu au Waafrika au Wahindi au makabila mengine (Gentiles) ya ulimwengu huu (Mathayo 14:21-28).
Ukristo umeasisiwa na Sauli ambaye ndie Paulo. Katika mazingira ya kutatanisha bila ya kuwepo ushahidi wa kuaminika, Paulo alidai kupewa Utume na Yesu mwenyewe katika Njozi.
Kwa ajili ya majadiliano haya naomba tukubali kuwa Paulo alikuwa Mtume. Lakini bado hii haimpi hadhi ya Uungu, bado anabaki kuwa binaadamu kama wengine.
Katika nukta hii tukumbuke kuwa Paulo hakuwahi kukutana na Yesu katika uhai wake. Na ni vema vile vile tukakumbuka kuwa huyu ndio yule Paulo aliyekuwa mstari wa mbele katika kuwatafuta na kuwaua wanafunzi wa Yesu. Vile vile tisisahau kuwa huyu ndie Paulo aliyekufa kwa kukatwa kichwa karibu na Roma kati ya mwaka 61B.K. na 68 B.K. Bibilia haituelezi kuwa Paulo baada ya kufa alifufuka na hivyo kuushinda umauti kama inavyodaiwa kwa Yesu, hivyo kupata hadhi ya uungu.
 
Gavana,

Tuache cut and paste! Weka link -muhimu fanya analysis ktk kutoa hoja!




Wakati wa kipindi kijulikanacho kama "Dark Ages" yaani zama za Giza (400-900 A.D.) Kanisa likiwa na nguvu za dola lilishiriki moja kwa moja kuwanyonya na kuwakandamiza watu kwa njia mbalimbali. Ukristo ulifanywa dini rasmi ya utawala wa Kirumi (Roman Empire) baada ya Mfalme Constantine kurithi kiti cha Kaizari mnamo mwaka 305 A.D.


Kipindi hiki Ukristo ukiwa ni zao la mchanganyiko wa mafundisho ya Paulo na itikadi za kipagani (za mfalme wa Kirumi), ulikuwa na nguvu kubwa sana. Wakuu wa Makanisa pamoja na taasisi zake walijimilikisha ardhi kama ilivyokuwa chini ya mfumo wa kikabaila (wachache kuhodhi ardhi na kuwatumia wengine kuzalisha au kuwakodisha kwa kulipa mazao, nguvu na fedha wakati wa baadaye).


Kipindi hiki na kilichofuatia maneno kama "tithe" yalianza kutumika yakimaanisha sehemu ya kumi (1/10) ya mazao kwa ajili ya Kanisa au watumishi wake kutoka kwa waumini.


Ilivyokuwa hii ni dini ya wanaadamu, Waasisi na Wataalamu wa Kanisa walilazimika kukaa na kuandika nadharia zao ambazo zilichukuliwa kuwa ni sehemu ya mafunzo na sheria ya Kanisa, Mt. Ambrose (340-397), Mt. Augustine (354-430) na Papa Gregory the great (540-604) walishikilia kuwa milki ya utawala wa kiroho na ule wa kupita (wa dunia) vyote vinatoka kwa Mungu.


Papa Gelasius I (492-496) alipokuwa akifafanua nadharia ya panga mbili nguvu za kanisa na dola-alisema kuwa nguvu hizi zote ni muhimu kwani dola kuweka njia ya kwendea peponi kwa kuhakikisha usalama na kanuni wakati kanisa lina dhamana ya maendeleo ya kiroho (Kaizari mpe haki yake na Mungu mpe haki yake). Papa Gelasius I alitaka upanga wa kiroho uwe juu ya Papa asiwe na wa kumkalia juu.


Nadharia ya haki za kiungu kwa wafalme "divine right of Kings" iliasisiwa ili kuikanusha ile ya mgawanyo wa dola na kanisa. Kwa kuwa kipindi cha zama za kati (middle Ages) kilikuwa na mivutano ya utawala - na mfalme awe mas-uli kwa watu wake au mwenye amri na nguvu za mwisho (absolute monarch).


Akina Martin Luther (1483-1586) na John Calvin (1509-1564) ambao wanaitakidiwa kuwa wahuishaji wa kanisa (reformers) na waasisi wa madhehebu ya Kiprotestanti walianzisha nadharia zao za utii wa kibubusa (passive obedience). Leon P. Baradat akifafanua nadharia hii anasema:


"The Reformation and absolutist factions agreed that political power came from God and that those who were chosen to exercise it were higher on the social scale than ordinary people. Consequently people were duty bound to obey the prince, even if he was a tyrant, because he was God’s magistrate on earth*.


Tafsiri:


Wahuishaji na wapendao mfalme aliye mas-uli walikubali kuwa nguvu za utawala (dola) zimetoka kwa Mungu na wale waliochaguliwa kutawala ni wabora katika daraja ya kijamii kuliko watu wa kawaida. Hivyo watu wanawajibika kumtii mtawala hata akiwa muovu (jeuri) kwani yeye ni hakimu wa Mungu duniani.
Nadharia hizi zilitumika kuwanyonyea watu kwa jina la dini. nchini Uingereza na Ufaransa hasa wakati wa utawala wa akina Stuart (Uingereza) na Louis XIV (Ufaransa). Hali hii ilikuwako Spain, Ureno, Italia na sehemu nyinginezo ambazo Kanisa lilishamiri. Ni kutokana na hali hiyo iliyoshamiri kwa karne nyingi na mauaji ya maelfu ya watu ndipo akina Karl Marx na waliowatangulia wakaandika kuwa dini ni KASUMBA na inapingana na sayansi.
"All religions however are nothing but fantastic reflection in men’s minds of those external forces which control their daily life, a reflection in which terrestrial forces assume the form of supernatural forces."

Tafsiri:


Kwa ujumla dini zote si chochote ila ni matokeo ya fikra ya mwanaadamu juu ya nguvu za maumbile zinazomiliki maisha yake ya kila siku, mtazamo ambao huzipa nguvu za kawaida umbile la nguvu za kiungu".


Aidha ni hali hiyo hiyo iliyochangia mapinduzi ya Ufaransa ya 1789 na kusababisha mali nyingi ya kanisa kutaifishwa na kuibuka nadharia za Secularism (kutenganishwa dini na dunia).

Kwa mfano korti ya Papa (Inquisition) kwa kipindi cha miaka 1481 iliwaadhibu watu 340,000 ambao kati yao 32,000 walichomwa wakiwa hai akiwemo mwanasayansi Bruno.


Hali ya baadhi ya watu kuchukia dini ni matunda ya ukandamizaji na mauaji yaliyofanywa na kanisa kwa karne nyingi. Ni hali iliyopelekea baadhi ya Wanafalsafa wa kikomunisti kuandika kwa mlinganisho wa kamajeruhi pasi na uitafiti kwamba:

like other religions, Islam for the Marxists is opium of people, a reactionary and antiscientific Ideology....... It indicates the spirit of resignation and humility and distracts him from revolutionary action".

Masalia ya unyonyaji na ukandamizaji kwa kisingizio cha dini yangali yanaonekana hadi leo.

Tofauti na Tanzania ambapo serikali hudai haina dini, nchi nyingi za Ulaya bado hadi leo zina dini za serikali (state or official religion). Spain, Italia, n.k., zinaitambua dini ya Kikatoliki kama "State religion", wakati Uingereza inaitambua dini inayosimamiwa na kanisa la Uingereza (Church of England) kuwa ni kanisa rasmi la serikali. Nchini Uingereza hadi leo Mfalme (Malkia) ndiye mkuu wa kanisa la Uingereza ambaye humchagua Askofu-Mkuu wa kanisa hilo kama ni mwakilishi wake.
Hali kadhalika baadhi ya sheria za kanisa hilo hupitishwa na bunge la nchi hiyo na baadhi ya viongozi wa kanisa huwa wana nafasi maalumu katika sehemu moja ya bunge lao (House of Lords).
 
Hawa sio waislamu ni confused people. Wengine wako somalia wanatoa watu meno...wengine Philipenes, Indonesia. Na kalikuliko zote ni wale waliowapinga hamas juzi. Kila siku kuna watu wanatoa interpretation ya dini vile wanavyodhani nakulazimisha kila mtu akubaliane nao
 
Hawa sio waislamu ni confused people. Wengine wako somalia wanatoa watu meno...wengine Philipenes, Indonesia. Na kalikuliko zote ni wale waliowapinga hamas juzi. Kila siku kuna watu wanatoa interpretation ya dini vile wanavyodhani nakulazimisha kila mtu akubaliane nao


upendo katika dini ya kikristo ndio huu wa kuchokoana vinyesi ma ta ko ni



On Homosexuals in the Catholic Priesthood

In a conversation with a well qualified school teacher who is a convert to Catholicism, she stated that she believes that as many as 75% of priests may be homosexual. Later, in consideration of what she had said, I reflected upon a number of priests in the archdiocese and had to admit the possibility that a high percentage of them might at least be homosexually oriented. I told her that I had considered the possibility that 40% of priests might be homosexual but found it hard to believe that the numbers she suggested could be correct. In using the term homosexual I am not distinguishing between those who are chaste and those who are active / practicing homosexuals.
Shortly after ordination I had reflected that it would be terrible that if as many as 2% of priests were homosexual. Perhaps a year later in a conversation with a highly placed priest of the archdiocese he stated that approximately 35% of priests were homosexuals. It was most disconcerting to read the following article in which Fr. Cozzens, the head of a Catholic seminary, says that estimates range as high as 60% of American priests are homosexual.
Unfortunately the article states that, "Cozzens is not against ordaining gay men, and concedes some effective bishops and even some popes may have been gay."
I totally disagree with his position of not being against ordaining gay men. I personally believe that it should be incorporated into the Code of Canon Law that homosexual orientation invalidates ordination, that is, makes homosexual orientation a diriment impediment to ordination. I further believe that an active homosexual cleric or religious (including pedophiles) should incur a totally reserved automatic excommunication that remains unforgivable while remaining in such position. Such sin would be a permanent impediment in regard to returning to religious life. While the expulsion of active homosexuals would possibly, even probably, cause a significant temporary decline in the number of available priests, I believe that in the long run the Church would have a great increase in vocations with a correspondingly healthier priesthood and consequently a morally healthier Church and world.
 
Back
Top Bottom