Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
"Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyezi mungu ni Uislam" Quran: Al Imran 3:19
"Na bila shaka tulimpeleka mtume katika kila umma, ya kwamba muabuduni mwenyezi mungu na mwepukeni shetani" Quran 16:36
" Na kila kaumu ina kiongozi wake" Quran 13:7
(Na mitume ni hawa tunaowafuata na si Muhammad s.a.w, pekee; Adam a.s, Idris a.s, Nuh a.s, Hud a.s, Salih a.s, Ibrahim a.s, Lut a.s, Ismail a.s, Is-haq a.s, ya'qub a.s, Yusuf a.s, Shu'ayb a.s, Ayub a.s, Dhul-kifl a.s, Musa a.s, Harun a.s, Daud a.s, Sulayman a.s, Ilyas a.s, Alyasa a.s, Yunus a.s, Zakarriya a.s, Yahya ibn Zakarriya a.k.a Yohana Mbatizaji a.s, Issah a.k.a Yesu a.s, Muhammad s.a.w)
"Enyi watu muabuduni mola wenu aliyekuumbeni na akaumba waliokuwa kabla yenu ili mpate kuokoka" Quran 2:21
" Wala hakuweka mambo mazito katika dini, dini hii (islam) ni mila ya baba yenu Ibrahim, Mwenyezi mungu aliwaita waislam tangu katika vitabu vya mwanzo (Tourat, Zabur na Injil) na katika Quran hii pia" Haji 22:78
Muhammad s.a.w, ni Nabii wa Mwisho, Quran,Al Ahzaab 33:40
Tafadhali ondoa uzushi wa hicho kitu "Muhamedans" jina letu tunaitwa Waislam, period
Hapo kwenye rangi pamenishangaza, kumbe na uislam unatambua "WOKOVU"?