Milioni tatu na nusu kama mtaji

bhakamu

JF-Expert Member
Sep 6, 2016
760
701
Wadau Nina kiasi tajwa hapo huu nahitaji kufungua kiduka cha spea za pikipiki sanlg. Naombeni ABC za hii biashara zaidi ...
 
Location ndio kitu kikubwa sana maana ukibugi hapo ndio basi,,,mwingine ataweka sehemu nyingine kwa mtaji nusu ya wa kwako lakn pana mzunguko so ATAULA
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom