King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,604
Bahati hyo ingeniangukia mimi break ya kwanza kwa sangoma,break ya pili kwa obama au kwa cameroon naenda kupiga Masters and PhD.......
kama bado zipo ziamishie kwenye account yangu tucheze dili mkuu...nimekupm mkuu...nasikia harufu ya ankara..
Gazetı habarı ya asubuhı,leo nı Jumatatu,vıpı mzıgo bado unasomeka kwenye account yako?
hizi bahati sijui kwanini haziangukii kwangu yaani ningezilamba asubuhi asubuhi..liwalo na liwe
mkubwa usiulize maswali mengi kama police!!! chukua mkwanja piga business....au we maisha ya bongo huyajui nini!!! aise kama huwezi ni PM bas....Sasa wale wanasheria wao wanafanya kazi gani?
Toa taarifa haraka kwa bank, kimaandishi. Hii sheria ya money laundering ni chinja chinja aisee. Wajuba hawakawii kukuwekea na kuzihamisha ukaonekana unahusika kwenye biashara fulani.
Habari zenu ndugu zangu, nimeacha pesa kidogo sana kwenye
Account yangu ya NMB. (2,356,700) Nimeenda kuangalia salio
nimekuta 52,356,700.
Je naweza kuchukua hizi pesa na nisishitakiwe?
kama nitashitakiwa kuna uwezekano wa kushinda kesi?
Tafadhali naombeni maelezo haraka iwezekanavyo.
NB kwenye heading ni (50,000,000)