Sasa wale wanasheria wao wanafanya kazi gani?
wanasheria wa serikali wana kazi gani????angalia kesi za zombe,mtikila,dowans,richmond
Sasa wale wanasheria wao wanafanya kazi gani?
itaarifu benki, waziondoe. Usichukue kisicho halali yako. Utaishia kufungwa
Mimi nina wasiwasi huyu jamaa keshachuku ndioYaani umekuja humu umetaja na benki, na miushauri yote wata print na kutumia mahakamani.
Hadi umetoa exact balance hivi kweli. Wewe sio mjanja kabisa kesho nenda katoe ripoti benki wachukue pesa yao labda watakupa zawadi ya kukushukuru.
Ila jifunzeni nyie mnaongea ukweli, nyie waoga mkiwa mnauliza maswali data za kweli ficheni tunga chochote e.g. Manamba, jina etc then maneno yawe ya kweli.
Duh mie tangu hiyo friday ningeshajipanga na bonge la kitu kama kukimbilia bagamoyo au magazetini kutafuta nani anauza shamba au kiwanja na kuandikisha jina la ndugu yangu au mtoto au mama yangu lolote.
Then ningekuwa nafuikiria nitatoaje amount kubwa kwa kumkupuo kulipia. Hata kama nisingetumia pesa yote ila ningejua nimepata mali.
Wakinidai mbele tutajuana mbele pesa nimekula sitaji nimenunua nini wasininyanganye na nitavumilia na kujitetea nikijua nina furaha rohoni.
Please endeleza kutujuza umefikia wapi, tabu all NMB staff kesho watajua jina lako etc, I hope hiyo balance sio ya ukweli ulivyoweka vinamba vyote.
Pia mmjoa kakuomba acoount kamwe usitoe.
Sio lazima usubirie pasi ndio ufunge,
Mpira mwingine unaweza ukaja kwa style la "loose ball" ambao hauna mwenyewe.
Kweli pesa hazina macho, mbona haziji kwangu?
Habari zenu ndugu zangu, nimeacha pesa kidogo sana kwenye
Account yangu ya NMB. (2,356,700) Nimeenda kuangalia salio
nimekuta 52,356,700.
Je naweza kuchukua hizi pesa na nisishitakiwe?
kama nitashitakiwa kuna uwezekano wa kushinda kesi?
Tafadhali naombeni maelezo haraka iwezekanavyo.
NB kwenye heading ni (50,000,000)
Huwa inatokea.....mara nyingi ni vijana wa IT bank wamepanga dili.............subiria watakupigia simu kukueleza kwamba kuna mchongo umeingia kwako kwa hiyo mpange dili ya kuutoa (infact usitegemee kupata chochote ni wajanja sana) Nina experience 2 za watu ninaowafahamu juu ya hilo
Hii Comment yako mpaka natetemeka.
nipe A/C no...yako nikuongezee nyingine kama hizo pole