Milioni Hamsini (50,000,000) zimeingia kimakosa kwenye Account yangu

Kuwa makini na vitu vya bure ni hatari au kama vp zichukue usizitumie kwa sasa weka ac ya Benk nyingine ili waki kufuatilia urudishe hyo hela mara moja.
 
Uisiitumie, wenye pesa wata-kutrace tu na kukukamata. Utarudisha pesa lbda pamoja na kufungwa. Njia bora ulizia kama sheria za prescription zinatumika kwenye masuala kama hayo na masharti yake
 
Huoni Kama Umejipatia Mkopo....toa iyo pesa Tumia kwa vitu vya Msingi...coz end of the DAy. Bank itakutafuta na MtakubalianA jinsi ya Kuzirejesha...Mkopo. Huo HAuna Riba ...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Haijawahi tokea kesi ya bank ikashinda..especial kwenye wizi wa fedha za bank, mi soni sababu ya kuendelea kungoja toa mshiko kamua. Wakija mtaelewana tu, mkopo wa bei nafuu.
 
take the money, that is the duty of customer
Habari zenu ndugu zangu, nimeacha pesa kidogo sana kwenye
Account yangu ya NMB. (2,356,700) Nimeenda kuangalia salio
nimekuta 52,356,700.

Je naweza kuchukua hizi pesa na nisishitakiwe?
kama nitashitakiwa kuna uwezekano wa kushinda kesi?

Tafadhali naombeni maelezo haraka iwezekanavyo.

NB kwenye heading ni (50,000,000)
 
Huoni Kama Umejipatia Mkopo....toa iyo pesa Tumia kwa vitu vya Msingi...coz end of the DAy. Bank itakutafuta na MtakubalianA jinsi ya Kuzirejesha...Mkopo. Huo HAuna Riba ...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hii inapendeza kwelikweli.
 
Haijawahi tokea kesi ya bank ikashinda..especial kwenye wizi wa fedha za bank, mi soni sababu ya kuendelea kungoja toa mshiko kamua. Wakija mtaelewana tu, mkopo wa bei nafuu.
Sasa wale wanasheria wao wanafanya kazi gani?
 
ilikuwa mwaka 82 nasimuliwa eti pale kijijini kwetu kuna ndege ilidondosha gunia la hela, akaliokota mama fulan (hadi leo yupo) afu maaskar walipokuja kawapa, wakamlamba kofi afu wakamwambia utakufa maskini, true 2 the moment she z very poor...WOGA WAKO NDO UMASKINI WAKO
 
Kwa mujibu wa sheria za kibenki,makosa yafanywayo na benki hayambani mteja. Hayo ni makosa ya benki. Hupaswi kuogopa. Toa hizo pesa na uzitumie. Utajuta kuziachaacha pesa za bure

mkuu rejea tena banking law yako! Kama hujasoma sheria nenda kasome "BANKING AND FINANCIAL INSTITUTIONS ACT ya 2007"
 
ilikuwa mwaka 82 nasimuliwa eti pale kijijini kwetu kuna ndege ilidondosha gunia la hela, akaliokota mama fulan (hadi leo yupo) afu maaskar walipokuja kawapa, wakamlamba kofi afu wakamwambia utakufa maskini, true 2 the moment she z very poor...WOGA WAKO NDO UMASKINI WAKO
Kuna utofauti mkuu, hii ni 2012 dunia imekuwa kama kijiji
kukimbia kwa kuificha siku hizi hakuna siku hizi utajiokoa
kwa maneno na vipengele vya inayoitwa sheria.
 
inategemeana na account yako ikoje, kama account yako ina tabia ya kupokea hela mara kwa mara kubwakubwa kama izo, unaweza kunyamaza tu na kuzitumia huku ukisikilizia, wakija wambie mimi sikujua kama nina overdraft nilijua hela yangu ya kawaida imeingia. katika sheria za bank, ukiongezwa hela hivyo huwa si kosa la customer ni la banker wenyewe na huwezi kuadibishwa. this is just a matter of fact na kila kesi huwa inaamliwa kulingana na mazingira yake. mfano: kama account yako mara nyingi huwa haifiki hata 20m, ikaonekana uliomba bank statement au yapo mazingira kuwa ulilijua salio lako kabla na baada ya kuwa over-credit, ukaonekana labda umetoa hela haraka sana ili kuzikimbiza tofauti na kawaida yako, yaani bank statement yako itaonyesha kama ulikuwa na nia ovu kuitoa hela kwasababu umejua umeongezea au la....hapo utapatikana ushahidi wa kiamzingira kuwa ulikuwa na knowledge ya kuongezea hela isiyo yako na uliitoa haraka kwa nia ovu na utashitakiwa kwa kosa la obtaining money by false pretence au hata theft. cha muhimu hapo ni namna au afya ya account yako, kama inaingiza hela na kutoa mamilioni hayo mara kwa mara unaweza ukawambia sikuwa na knowledge...ila kama ulikuwa na vilaki vyako tu, utajinasisha na utafungwa.
 
inategemeana na account yako ikoje, kama account yako ina tabia ya kupokea hela mara kwa mara kubwakubwa kama izo, unaweza kunyamaza tu na kuzitumia huku ukisikilizia, wakija wambie mimi sikujua kama nina overdraft nilijua hela yangu ya kawaida imeingia. katika sheria za bank, ukiongezwa hela hivyo huwa si kosa la customer ni la banker wenyewe na huwezi kuadibishwa. this is just a matter of fact na kila kesi huwa inaamliwa kulingana na mazingira yake. mfano: kama account yako mara nyingi huwa haifiki hata 20m, ikaonekana uliomba bank statement au yapo mazingira kuwa ulilijua salio lako kabla na baada ya kuwa over-credit, ukaonekana labda umetoa hela haraka sana ili kuzikimbiza tofauti na kawaida yako, yaani bank statement yako itaonyesha kama ulikuwa na nia ovu kuitoa hela kwasababu umejua umeongezea au la....hapo utapatikana ushahidi wa kiamzingira kuwa ulikuwa na knowledge ya kuongezea hela isiyo yako na uliitoa haraka kwa nia ovu na utashitakiwa kwa kosa la obtaining money by false pretence au hata theft. cha muhimu hapo ni namna au afya ya account yako, kama inaingiza hela na kutoa mamilioni hayo mara kwa mara unaweza ukawambia sikuwa na knowledge...ila kama ulikuwa na vilaki vyako tu, utajinasisha na utafungwa.
Nashukuru kwa maelezo yako kuu, Account yangu haijawahi kuzidi milioni nane (8,000,000)
Na ndio kiwango cha juu kabisa kuwahi kukaa kwenye Account hiyo. Siku niliyogundua nilienda
kutoa laki 1 nilipoomba risiti ndio ikaleta majibu hayo, nimekuwa na tabia ya kwenda kuhakikisha mara
kwa mara kama ile pesa bado ipo.
 
Kuna mwanasheria humu JF anaitwa ruttashobolwa akija atakupa ushauri wenye busara. Ingawa mimi ningeshachukua kwani kwa kusema tu humu wameshasoma jf na ingawa hujasema ni tawi lipi la NMB, wameshacheck mwenye salio km lako na kesho hakika hutoikuta
 
Last edited by a moderator:
Kuna mwanasheria humu JF anaitwa ruttashobolwa akija atakupa ushauri wenye busara. Ingawa mimi ningeshachukua kwani kwa kusema tu humu wameshasoma jf na ingawa hujasema ni tawi lipi la NMB, wameshacheck mwenye salio km lako na kesho hakika hutoikuta
Duuh, itakuwa mbaya sana.
 
Habari zenu ndugu zangu, nimeacha pesa kidogo sana kwenye
Account yangu ya NMB. (2,356,700) Nimeenda kuangalia salio
nimekuta 52,356,700.

Je naweza kuchukua hizi pesa na nisishitakiwe?
kama nitashitakiwa kuna uwezekano wa kushinda kesi?

Tafadhali naombeni maelezo haraka iwezekanavyo.

NB kwenye heading ni (50,000,000)

Nenda kesho kwa manager wa hiyo branch, talk to him. Mtafikia tu muafaka mzuri. Ni vizuri sana kuwa honest.
 
Back
Top Bottom