manyanyaso2012
Member
- Jun 18, 2012
- 5
- 0
Kiasi cha milioni 700 kimetengwa kwa ajili ya uhamisho wa wafanyakazi mwezi july ikiwa wanachama hatupati dawa tukienda hospitali. Mkurugenzi wao anahamisha wafanyakazi kila mwaka ili kuficha ufisadi unaotendeka. Kuna tetesi wafanyakazi wanakusanya data ili wamlipue kama mama nyoni.