Milioni 70 vyoo viwili tafakari

Pure_2BGold_2BBathroom.jpg
aaaaah! kama ni hizi sawa, vingivyo vile vyoo milion 5 zinatosha kabisa
 
Cha ajabu nini hapo??

Ukifuata kanunuzi za zabuni na manunuzi za PPRA unaweza kujenga choo kimoja hata kwa Mil 100 maana mchakato wake mrefu mno!

Kwanza utafute injinia mshauri sijui, then mtangaze tenda gazetini sijui mkishatangaza watu wakae vikao kujadili!

Hivyo vikao na mchakato na mshauri unaweza kukuta mil 20 lakini sio kwamba ni ufisadi thats how it should be sheria zinavyosema.

Sasa jiulize bora nini tuache watu wale kifisadi mil 5 au tufuate kanuni nzuri milioni 20 iliwe kiuhalali.
Sijajua ukuko upande kani lakini inaonyesha una uelewa kwenye haya mambo naomba uzinyanyambue hizi mil 70....
 
BOSI WANGU NDIYO MAANA NIMEULIZA HATA MIMI, SIAMINI NINACHOKIONA, KAMA CHOO CHENYEWE CHA 70MIL NDIYO HIKI. Then this country is running on it's own bullshit!

Mkuu hiyo nafikiri walianza vikao vya kujadili ujenzi wa choo husika na kutayarisha upembuzi yakinifu na kumtafuta mkandarasi na kuitisha kikao cha kuevaluate tenda na kumpitisha mkandarasi na then kuja kuanza kukijenga pesa za vikao na posho zishafikia mil 50 so choo kinakuja kutumia mil 20 tuu
 
Natofautiana kabisa na wewe, tusipende kila kitu kukihusisha na ufisadi itafika mahala watawala watazoea malalamiko yetu na wasiyafanyie kazi. Mimi nilidhania ingekuwa vema ungekuja na data kamili za ujenzi wa hivyo vioo then tujadiri, kwasababu milioni70 zaweza kuwa zilitumika sahihi tuu lakini kwasababu huna data nzuri hoja yako haijadiriki. Na suala la kwamba umejenga nyumba ya vyumba vinne hujatumia milioni30 ndipo nimeanzia kuwa na mashaka na hoja yako. Mimi binafsi nina kibanda changu cha vyumba vinne kama wewe Total cost so far ni Milioni57(Under serious control) haijaisha kama nitakavyo japo naishi humo.

To me Tshs Milioni70 zaweza kujenga hata choo kimoja tuu itategemeana na choo chenyewe.
Naona hicho choo kimoja cha gharama hiyo unachosema ni cha Kempisky na sio halmashauri zetu tunazozifahamu tuwe na uchungu kidogo na madiwani wafanye kazi zao kuzuia uozo sio kukinga posho tu..kama yupo diwani yoyote wa kibaha atujuze au wameshapozwa..
 
Natofautiana kabisa na wewe, tusipende kila kitu kukihusisha na ufisadi itafika mahala watawala watazoea malalamiko yetu na wasiyafanyie kazi. Mimi nilidhania ingekuwa vema ungekuja na data kamili za ujenzi wa hivyo vioo then tujadiri, kwasababu milioni70 zaweza kuwa zilitumika sahihi tuu lakini kwasababu huna data nzuri hoja yako haijadiriki. Na suala la kwamba umejenga nyumba ya vyumba vinne hujatumia milioni30 ndipo nimeanzia kuwa na mashaka na hoja yako. Mimi binafsi nina kibanda changu cha vyumba vinne kama wewe Total cost so far ni Milioni57(Under serious control) haijaisha kama nitakavyo japo naishi humo.

To me Tshs Milioni70 zaweza kujenga hata choo kimoja tuu itategemeana na choo chenyewe.

Mkuu
umekosea huwezi jenga choo cha 70m kwa nchi hii ambayo shule zake za kata hazina madawati, na nk
ni wizi usiokifani. 70m unajenga nyumba nzuri ya hatari kama hutajifisadi wewe mwenyewe
 
Duh mkuu wacha hizo bana
mbona hicho choo hakina hata thamani ya milioni mbili mbona cha kawaida sana ambacho hata mkulima wa pale songea anaweza kukijenga
Kweli pesa za nchi hii zinaliwa na wajanja
acha dharau kwa serikali yako, sisi wapenda amani tunaona kama unataka kuhatarisha amani tulio ijenga kwa miaka takribani 50 wewe choo hujakiona kwa ndani unanza kulalamika wakati mlitakiwa mtupongeze kwa kubana matumizi kwani hukumbuki kunachoo kilisha jengwa kwa mil 700 hii ni kwa mjibu wa Dr Slaa sasa huwezi kuona juhudi za kujivua gamba kutoka kujenga choo cha mil 700 mpka 70...labda kwa kukusaidia tu kule ndani ya shimo vimewekewa tailizi,kuna mashine za kuya badilisha mavi kuwa juisi, juu ndiyo usiseme bahati mbaya mpiga picha alikuta kimefungwa ila msome Camaraderie hapa chini

CCM ni zaidi ya ujuavyo
 
Pengine vifaa vya ujenzi wa choo waliagiza from abroad ndio maana gharama zimekuwa kubwa.

Ila haingii akilini sehemu ya kutolea uchafu ijengwe kwa gharama kubwa hivi, hata kama mkandarasi pia alitoka nje kwa ajili ya kujenga choo.
 
Wizi mtupu. choo kwa 70 million??? aingii akilini, nchi yenyewe watoto wetu wanakaa chini mashuleni, majengo mengine ya shule ni hatari tupu, familia nyingi zinaishi kwa mlo mmoja.

agrrrrrrrrrrrrr angalau tuwe na huruma kidogo
 
acha dharau kwa serikali yako, sisi wapenda amani tunaona kama unataka kuhatarisha amani tulio ijenga kwa miaka takribani 50 wewe choo hujakiona kwa ndani unanza kulalamika wakati mlitakiwa mtupongeze kwa kubana matumizi kwani hukumbuki kunachoo kilisha jengwa kwa mil 700 hii ni kwa mjibu wa Dr Slaa...labda kwa kukusaidia tu kule ndani ya shimo vimewekewa tailizi, juu ndiyo usiseme bahati mbaya mpiga picha alikuta kimefungwa ila msome Camaraderie hapa chini


CCM ni zaidi ya ujuavyo


Kweli mkuu naona nimekosa uzalendo kwa nchi yangu na viongozi wangu inabidi nijifunze upya namna ya kuwaenzi na kuwapongeza kwa kazi nzuri sana ya kutuletea maendelo
 
Mkuu
umekosea huwezi jenga choo cha 70m kwa nchi hii ambayo shule zake za kata hazina madawati, na nk
ni wizi usiokifani. 70m unajenga nyumba nzuri ya hatari kama hutajifisadi wewe mwenyewe

Kwa ghalama za ujenzi 70m waweza kweli kujenga nyumba isiyo ya kubezwa lakini, siyo nyumba ya hatari
 
nakumbuka wakati nasoma shule ya msingi, kujenga choo cha shimo haikuwa issue kabisa. Enzi hizo watu hawakuwa walafi kama sana na walikuwa na ujasiri wa kutunga nyimbo kama vile Tanzania nakupenda kwa moyo wote.

Kujenga choo hatukuhitaji kuita zabuni bali wanafuzi wote kama stadi za kazi tulifyatua matofali, tukapanga matanuri, tukakata miti na hatimaye kuchoma hayo matofali.

Baada ya hapo tulichimba mashimo kwa majembe, sepetu na sululu, tulitumia ndoo na kamba kutoa udongo kwenye mashimo na baadaye mwalimu wa ujenzi alifanya setting na ujenzi ukaanza.

Kilichokuwa kinanunuliwa ni bati mbao na saruji kwa ajili ya kusakafia. Hivyo basi vyoo vya shule za msingi vilikuwa na gharama ya chini sana.

Sasa hivi ni balaa choo kimoja cha shule kinamaliza matatizo ya afisa elimu mkoa, mkaguzi mkoa,na mlolongo wa maafisa wenye njaa, uroho, kiu, tamaa you name it.

Hivi hakuna mtanzania sober huko juu mwenye kuipenda nchii hii na kuamua kuwa vyoo vyote vya shule za msingi vijengwe na wafungwa kwa mtindo niliousema hapo juu?? Ikiamuliwa hivyo ni kiasi gani cha fedha tutakuwa tumeokoa?? Ulizingatia luwa kila walaya ina gereza moja??

Tumechoka kusoma habari za wizi every now and then, its time we act affirmatively.
 
Natofautiana kabisa na wewe, tusipende kila kitu kukihusisha na ufisadi itafika mahala watawala watazoea malalamiko yetu na wasiyafanyie kazi. Mimi nilidhania ingekuwa vema ungekuja na data kamili za ujenzi wa hivyo vioo then tujadiri, kwasababu milioni70 zaweza kuwa zilitumika sahihi tuu lakini kwasababu huna data nzuri hoja yako haijadiriki. Na suala la kwamba umejenga nyumba ya vyumba vinne hujatumia milioni30 ndipo nimeanzia kuwa na mashaka na hoja yako. Mimi binafsi nina kibanda changu cha vyumba vinne kama wewe Total cost so far ni Milioni57(Under serious control) haijaisha kama nitakavyo japo naishi humo.

To me Tshs Milioni70 zaweza kujenga hata choo kimoja tuu itategemeana na choo chenyewe.

Well said mkuu. Ni vema mleta hoja angetupatia itemsed bill of quantities tuone kasoro zake. Vinginevyo ni kelele ambazo zinaweza kupuuzwa.
 
nakumbuka wakati nasoma shule ya msingi, kujenga choo cha shimo haikuwa issue kabisa. Enzi hizo watu hawakuwa walafi kama sana na walikuwa na ujasiri wa kutunga nyimbo kama vile Tanzania nakupenda kwa moyo wote.

Kujenga choo hatukuhitaji kuita zabuni bali wanafuzi wote kama stadi za kazi tulifyatua matofali, tukapanga matanuri, tukakata miti na hatimaye kuchoma hayo matofali.

Baada ya hapo tulichimba mashimo kwa majembe, sepetu na sululu, tulitumia ndoo na kamba kutoa udongo kwenye mashimo na baadaye mwalimu wa ujenzi alifanya setting na ujenzi ukaanza.

Kilichokuwa kinanunuliwa ni bati mbao na saruji kwa ajili ya kusakafia. Hivyo basi vyoo vya shule za msingi vilikuwa na gharama ya chini sana.

Sasa hivi ni balaa choo kimoja cha shule kinamaliza matatizo ya afisa elimu mkoa, mkaguzi mkoa,na mlolongo wa maafisa wenye njaa, uroho, kiu, tamaa you name it.

Hivi hakuna mtanzania sober huko juu mwenye kuipenda nchii hii na kuamua kuwa vyoo vyote vya shule za msingi vijengwe na wafungwa kwa mtindo niliousema hapo juu?? Ikiamuliwa hivyo ni kiasi gani cha fedha tutakuwa tumeokoa?? Ulizingatia luwa kila walaya ina gereza moja??

Tumechoka kusoma habari za wizi every now and then, its time we act affirmatively.

Ngambo tatizo hapa ni kuwa hawo wafungwa wakija tenda itakuwa hakuna na watu wanaishi kwa tenda. Kinachotakiwa ni kurudisha nidhamu ya kazi na uadilifu kazini kama ilivyokuwa kwenye awamu ya kwanza vinginevyo tutalalamika kila siku na hayo hayawezekani chini ya CCM.
 
Back
Top Bottom