Milioni 50 zatumika kumpeleka Arusha Freeman mbowe

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
Jf
polisi waliohusika na shughuri ya kumsafirisha Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe kutoka Dsm kwenda Arusha wanasema ni zaidi ya milioni 50 zilitumika kwa safari hiyo

lakini pia kila wilaya kulikuwa na polisi waliowekwa tayari kupambana na wanachama wa chadema ambao wangeonekana kuleta fujo na polisi wote hao wamelipwa posho zao

Pia yaliandaliwa magari yenye maji ya kuwasha na yote hayo yalijazwa mafutwa kwa pesa ya serikali

hivyo basii polisi hao wanalalmika kwa nini pesa zote hizo zitumike kwa kumkamata mtu mmoja tu ilihali mpaka leo wao kama polisi wanadai malimbikizo ya mishahala yao na hawajalipwa mpaka leo

kazi ipo jamani,tutafika kweli?
 
Jf
polisi waliohusika na shughuri ya kumsafirisha Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe kutoka Dsm kwenda Arusha wanasema ni zaidi ya milioni 50 zilitumika kwa safari hiyo

lakini pia kila wilaya kulikuwa na polisi waliowekwa tayari kupambana na wanachama wa chadema ambao wangeonekana kuleta fujo na polisi wote hao wamelipwa posho zao

Pia yaliandaliwa magari yenye maji ya kuwasha na yote hayo yalijazwa mafutwa kwa pesa ya serikali

hivyo basii polisi hao wanalalmika kwa nini pesa zote hizo zitumike kwa kumkamata mtu mmoja tu ilihali mpaka leo wao kama polisi wanadai malimbikizo ya mishahala yao na hawajalipwa mpaka leo

kazi ipo jamani,tutafika kweli?

Niulize tuu Zimamoto zikienda kuzima moto sehemu nyumba inawaka nani anabeba zile gharama? Jibu la swali hili lilenge kutoa ushauri nani abebe gharama hizi za kumpeleka Mh. Mbowe Arusha
 
Niulize tuu Zimamoto zikienda kuzima moto sehemu nyumba inawaka nani anabeba zile gharama? Jibu la swali hili lilenge kutoa ushauri nani abebe gharama hizi za kumpeleka Mh. Mbowe Arusha

Fafanua kidogo swali lako. Sijakuelewa uhusiano wake na suala la Mh. Mbowe.
 
Niulize tuu Zimamoto zikienda kuzima moto sehemu nyumba inawaka nani anabeba zile gharama? Jibu la swali hili lilenge kutoa ushauri nani abebe gharama hizi za kumpeleka Mh. Mbowe Arusha

najibu kwa niaba ya jamaa hapo juu...
Sawa tunakubali kua gharama za fire zinalipwa na serikali, lakini wat the last speaker meant is why use more than 50 million kumsafirisha mtu mmoja, tena aliyejipeleka polisi mwenyewe?? Why use a jwtz jet which can carry 100 people + 40 tons of cargo to carry 4 people???? Why use 8 police vehicles for escorting one single person?? Is he a mass murderer or just a person who didint turn up to court??..
Our money is not properly used..
And that is what the former speaker was saying,, he was not talking about where the money is coming from, but, how the money is being misused
 
Jf
polisi waliohusika na shughuri ya kumsafirisha Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe kutoka Dsm kwenda Arusha wanasema ni zaidi ya milioni 50 zilitumika kwa safari hiyo

lakini pia kila wilaya kulikuwa na polisi waliowekwa tayari kupambana na wanachama wa chadema ambao wangeonekana kuleta fujo na polisi wote hao wamelipwa posho zao

Polisi walishaambiwa mara nyingi na Dr. Slaa kwamba ugumu wa maisha unaowapata Watanzania unawahusu hata wao na ukombozi wa Tanzania unawahusu wao vile vile. Wajionee wenyewe kwa macho yao kama hawasikii wanayoambiwa
Pia yaliandaliwa magari yenye maji ya kuwasha na yote hayo yalijazwa mafutwa kwa pesa ya serikali

hivyo basii polisi hao wanalalmika kwa nini pesa zote hizo zitumike kwa kumkamata mtu mmoja tu ilihali mpaka leo wao kama polisi wanadai malimbikizo ya mishahala yao na hawajalipwa mpaka leo

kazi ipo jamani,tutafika kweli?

Wajionee wenyewe kwani walikuwa wahasikii wanayoambiwa.
 
najibu kwa niaba ya jamaa hapo juu...
Sawa tunakubali kua gharama za fire zinalipwa na serikali, lakini wat the last speaker meant is why use more than 50 million kumsafirisha mtu mmoja, tena aliyejipeleka polisi mwenyewe?? Why use a jwtz jet which can carry 100 people + 40 tons of cargo to carry 4 people???? Why use 8 police vehicles for escorting one single person?? Is he a mass murderer or just a person who didint turn up to court??..
Our money is not properly used..
And that is what the former speaker was saying,, he was not talking about where the money is coming from, but, how the money is being misused

Kuhusu kutumia ndege ja JWTZ, nadhani ndege ikikaa muda mrefu bila kuruka "air safety" inakuwa ya mashaka. Huenda nyie mkawa mnaona kuwa wametumia gharama kurusha ndege lakini wao pengine walikuwa wanapasha ndege moto
 
Niulize tuu Zimamoto zikienda kuzima moto sehemu nyumba inawaka nani anabeba zile gharama? Jibu la swali hili lilenge kutoa ushauri nani abebe gharama hizi za kumpeleka Mh. Mbowe Arusha

Hizi ghalama zinatakiwa zibebwe na jeshi la polisi, na walikuwa sahihi kutokana na hadhi yake. Huwezi ukampakiza kwenye pick up mtu kama Mbowe ili kumfikisha mahakamani. Kwa hili siwalaumu Polisi.
 
Hata kama ingekua Milioni 100 lengo lilikua ni kuangalia usalama wa watanzania kwani kuna wajinga walikua wanajipanga kuandamana mitaani na kuleta fujo! Hivyo gharama ya maisha ya wajinga hao ingekua mbaya zaidi
 
Kuhusu kutumia ndege ja JWTZ, nadhani ndege ikikaa muda mrefu bila kuruka "air safety" inakuwa ya mashaka. Huenda nyie mkawa mnaona kuwa wametumia gharama kurusha ndege lakini wao pengine walikuwa wanapasha ndege moto
Hapa ndipo unaponichefua, Kupasha moto ndege ni suala la kiufundi ambalo linaendana na risk kubwa kwa hiyo Polisi waliona wapashe moto ndege huku kukiwa na Mbowe ndani yake.
 
Kuhusu kutumia ndege ja JWTZ, nadhani ndege ikikaa muda mrefu bila kuruka "air safety" inakuwa ya mashaka. Huenda nyie mkawa mnaona kuwa wametumia gharama kurusha ndege lakini wao pengine walikuwa wanapasha ndege moto

sawa, they took advantage kwamba ndege ilipashwa moto, according to u, nakubali.... Wat about the escort cars and police?? Nayo yalikua yanapashwa moto??
 
50 Million kumpeleka Mh. Mbowe Arusha!!!!...... hii haina majasho kabisa:whistle::whistle::whistle::whistle:

hayo ndio maisha bora tunayo hitaji.... mahospitalini madawa hakuna, watoto wetu wanakaa chini madawati hakuna madarasa utafikiri mabanda ya kufugia kuku, maji yanatafuta umbali mrefu, kilasiku maisha yanazidi kupanda ila kutumia 50 million kwa masaa 4 inawezekana!!!!

 
kuna wanafunzi hawana madawati, wanasomea chini ya mti, wanasoma komputa kwa nadharia (SIPIYU) n.k .Hzo mil 50 kwa nini zsipelekwe huko??
 
50m kumpeleka Mbowe Arusha. Haya kilichopatikana Mahakamani Arusha ni nini? Kwa faida ya nani? Thamani yake inalingana na 50m?
 
sawa, they took advantage kwamba ndege ilipashwa moto, according to u, nakubali.... Wat about the escort cars and police?? Nayo yalikua yanapashwa moto??

Magari yalitakiwa yamaliza Kilometer zake kabla ya 30 June 2011 ili fungu la matengenezo kwenye bajeti ya 2010/11 liweze kumalizika. Escort vile vile ni katika kumaliza mafungu ya bajeti ya 2010/11
 
Helicopter Expenses(Fuel) 4,650,000/=Go & Return
Pilot and Co-pilot@ 300,000 1,200,000/=
Helicopter staff(6pax) @100,000 1,200,000/=
Police escort Dar-Ars(10Police)@50,000 askari waliopanda chopper 1,000,000/=
Police escort Central to JNIA 8cars full tank @200,000 1,600,000/=
Police escort Central to JNIA 8CARS@10Police staff@50,000 allowance 4,000,000/=
Police escort Ars Airport to court 10cars full tank @200,000 2,000,000/=
Police escort Central to JNIA 10CARS@10Police staff@50,000 allowance 5,000,000/=
TISS allowances Dar 3,000,000/=
TISS allowances Ars 3,000,000/=
SUB TOTAL 26,650,000/=
Uchakachuaji = Sub total 26,650,000/=
Kimjini mjini for Riz1 and others= Uchakachuaji 26,650,000/=
Time wasted,Depreciation of Assets(Choper and cars etc) 26,650,000/=
GRAND TOTAL 106,600,000/=(Millioni Mia moja na sita Laki sita)

JAMANI PESA HIZI ZINGENUNUA VITANDA DOUBLE DECKER 1,776(Kila kitandaTsh.60,000) KWA WANAFUNZI 3,550 KWA MABWENI YA SHULE ZETU ZA KATA.

KARIBUNI TANZANIA KILA KITU KINAWEZEKANA ISIPOKUWA KUMSAIDIA MTANZANIA!
 
Ngoja nienda Bar nikanywe ili nipunguze mawazo maana hii haingii akilini, hiyo pesa wangetafutwa vijana/wanawake kama 100 wakapewa mafunzo ya ujasiriamali na kila mmoja angepewa mkopo wa laki tano, si tungekuwa tumepiga hatua moja kuelekea maendeleo ya kweli?
 
Hapa ndipo unaponichefua, Kupasha moto ndege ni suala la kiufundi ambalo linaendana na risk kubwa kwa hiyo Polisi waliona wapashe moto ndege huku kukiwa na Mbowe ndani yake.

hehehehehe
hii ni hatari sana,kupasha ndege ama kuifanyia majaribio wakati kuna kiongozi mkubwa wa chama ndani ni kutaka kummaliza ama kutoa maisha yake,hiyo haikuwa sahihi kabisa

ziko njia nyingi za kuipasha moto ndege lakini sio kwa mtindo huo

Pia kama alivyosema mjumbe mmoja,hayo matumizi ya pesa ni makubwa sana,kulikuwa hakuna haja ya kumkamata Mh mbowe na kutumia kiasi kikubwa cha pesa namna hiyo,wakati kulikuwa kunauwezekano wa kumweleza kwa maneno kuwa anahitajika mahakamani na angekwenda mwenyewe hizo gharama sizingekuwepo
 
Sikio la kufa halisikii dawa. Nilipoteza binamu yangu kijijini baada ya kukosa huduma bora za afya. Naamini na wengine nao hivyo hivyo.
 
Helicopter Expenses(Fuel) 4,650,000/=Go & Return
Pilot and Co-pilot@ 300,000 1,200,000/=
Helicopter staff(6pax) @100,000 1,200,000/=
Police escort Dar-Ars(10Police)@50,000 askari waliopanda chopper 1,000,000/=
Police escort Central to JNIA 8cars full tank @200,000 1,600,000/=
Police escort Central to JNIA 8CARS@10Police staff@50,000 allowance 4,000,000/=
Police escort Ars Airport to court 10cars full tank @200,000 2,000,000/=
Police escort Central to JNIA 10CARS@10Police staff@50,000 allowance 5,000,000/=
TISS allowances Dar 3,000,000/=
TISS allowances Ars 3,000,000/=
SUB TOTAL 26,650,000/=
Uchakachuaji = Sub total 26,650,000/=
Kimjini mjini for Riz1 and others= Uchakachuaji 26,650,000/=
Time wasted,Depreciation of Assets(Choper and cars etc) 26,650,000/=
GRAND TOTAL 106,600,000/=(Millioni Mia moja na sita Laki sita)

JAMANI PESA HIZI ZINGENUNUA VITANDA DOUBLE DECKER 1,776(Kila kitandaTsh.60,000) KWA WANAFUNZI 3,550 KWA MABWENI YA SHULE ZETU ZA KATA.

KARIBUNI TANZANIA KILA KITU KINAWEZEKANA ISIPOKUWA KUMSAIDIA MTANZANIA!

nimeipenda hiyo breakdown,
 
Helicopter Expenses(Fuel) 4,650,000/=Go & Return
Pilot and Co-pilot@ 300,000 1,200,000/=
Helicopter staff(6pax) @100,000 1,200,000/=
Police escort Dar-Ars(10Police)@50,000 askari waliopanda chopper 1,000,000/=
Police escort Central to JNIA 8cars full tank @200,000 1,600,000/=
Police escort Central to JNIA 8CARS@10Police staff@50,000 allowance 4,000,000/=
Police escort Ars Airport to court 10cars full tank @200,000 2,000,000/=
Police escort Central to JNIA 10CARS@10Police staff@50,000 allowance 5,000,000/=
TISS allowances Dar 3,000,000/=
TISS allowances Ars 3,000,000/=
SUB TOTAL 26,650,000/=
Uchakachuaji = Sub total 26,650,000/=
Kimjini mjini for Riz1 and others= Uchakachuaji 26,650,000/=
Time wasted,Depreciation of Assets(Choper and cars etc) 26,650,000/=
GRAND TOTAL 106,600,000/=(Millioni Mia moja na sita Laki sita)

JAMANI PESA HIZI ZINGENUNUA VITANDA DOUBLE DECKER 1,776(Kila kitandaTsh.60,000) KWA WANAFUNZI 3,550 KWA MABWENI YA SHULE ZETU ZA KATA.

KARIBUNI TANZANIA KILA KITU KINAWEZEKANA ISIPOKUWA KUMSAIDIA MTANZANIA!


Good! Umezipangilia vizuri sana.
 
Back
Top Bottom