engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Jf
polisi waliohusika na shughuri ya kumsafirisha Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe kutoka Dsm kwenda Arusha wanasema ni zaidi ya milioni 50 zilitumika kwa safari hiyo
lakini pia kila wilaya kulikuwa na polisi waliowekwa tayari kupambana na wanachama wa chadema ambao wangeonekana kuleta fujo na polisi wote hao wamelipwa posho zao
Pia yaliandaliwa magari yenye maji ya kuwasha na yote hayo yalijazwa mafutwa kwa pesa ya serikali
hivyo basii polisi hao wanalalmika kwa nini pesa zote hizo zitumike kwa kumkamata mtu mmoja tu ilihali mpaka leo wao kama polisi wanadai malimbikizo ya mishahala yao na hawajalipwa mpaka leo
kazi ipo jamani,tutafika kweli?
polisi waliohusika na shughuri ya kumsafirisha Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe kutoka Dsm kwenda Arusha wanasema ni zaidi ya milioni 50 zilitumika kwa safari hiyo
lakini pia kila wilaya kulikuwa na polisi waliowekwa tayari kupambana na wanachama wa chadema ambao wangeonekana kuleta fujo na polisi wote hao wamelipwa posho zao
Pia yaliandaliwa magari yenye maji ya kuwasha na yote hayo yalijazwa mafutwa kwa pesa ya serikali
hivyo basii polisi hao wanalalmika kwa nini pesa zote hizo zitumike kwa kumkamata mtu mmoja tu ilihali mpaka leo wao kama polisi wanadai malimbikizo ya mishahala yao na hawajalipwa mpaka leo
kazi ipo jamani,tutafika kweli?