Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Swali: Hivi ingekuwaje kama BAO (si la mpira wewe) la ku-DU (umeelewa sasa… lingekuwa linatoa mlio kama Bunduki???
Mfano: Paaah au Puuuh au Pooooh au Tuuufuu au Tratrataaaah nk. Nahisi tungekuwa viziwi Dunia nzima, kwa sababu usiku kelele za mabao tusingelala.
Tena fikiria wale waliopo jirani na Guest House wangelala?? Kwao yangekuwa ni mabao tu kwa kwenda mbele… Paaah au Puuuh au Pooooh au Tuuufuuh au Tratrataaaah
hoto:
Mfano: Paaah au Puuuh au Pooooh au Tuuufuu au Tratrataaaah nk. Nahisi tungekuwa viziwi Dunia nzima, kwa sababu usiku kelele za mabao tusingelala.
Tena fikiria wale waliopo jirani na Guest House wangelala?? Kwao yangekuwa ni mabao tu kwa kwenda mbele… Paaah au Puuuh au Pooooh au Tuuufuuh au Tratrataaaah
hoto: