PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Feb 23, 2010 #2 This was here on JF since sunday. Mila ni Mila, lakini Inatisha kidogo.
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Feb 23, 2010 #3 mh kweli usipojua thamani ya kitu utakitumia vibaya hizi mila zingine zimevuka mipaka jamani ni kama kumkosoa mungu jamani
mh kweli usipojua thamani ya kitu utakitumia vibaya hizi mila zingine zimevuka mipaka jamani ni kama kumkosoa mungu jamani
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,834 155,782 Feb 23, 2010 #4 Jamani umewapata wapi hao ndugu zangu? Mbona kimya sana my therengetitherengeti?
RayB JF-Expert Member Nov 27, 2009 2,751 196 Feb 23, 2010 #6 Niliziona kule jamii photos, ndo mila ya kila sehemu inatofauti wenzio wanaenjoy tu na wanaona wamependeza mno
Niliziona kule jamii photos, ndo mila ya kila sehemu inatofauti wenzio wanaenjoy tu na wanaona wamependeza mno