Catrthbertl nende kwenye serikali za mitaa kule kijijini uongee nao waeleze hali halisi ninauhakika watakusaidia. kwani kwa wachagga ni lazima kwa kule kijijini uwe na boma hasa kwa mwanaume. wanaokuambia uondoke ukatafute sehemu nyingine me naona kwako itakuwa ngumu. Utaenda kunywea kisusio wapi?
Zaidi wachaga ukifa lazima ukazikwe uchagani we utazikwa porini ndugu? Aisee babaangu usikubali Pambana upate haki yako eti!
Zaidi wachaga ukifa lazima ukazikwe uchagani we utazikwa porini ndugu? Aisee babaangu usikubali Pambana upate haki yako eti!