mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF kutokana na CHADEMA kufanya Mikutano yenye Mvuto kwa Wananchi, Serikali kupitia Mamlaka za Juu za (CCM) uongozi zimemuamuru Msaliji(kada wa CCM) wa vyama vya siasa kutengeneza Kanuni itakayokataza vyama vyote vya siasa kufanya mikutano kwa Uhuru(mlengwa ni M4C).
Inadaiwa mikutano hiyo imekuwa ikihatarisha Amani ya Nchi na kuzoa wanachama wa vyama vingine.
Kwa mujibu wa mtoa Nyeti hizi, Msajili atawaita Makatibu Wakuu wote na kuwapa kitabu cha Kanuni ya Mikutano ambayo haitamruhusu mtu asiye wa Mkoa fulani kuvuka mkoa na kuhutubia Hadhara bila kibali maalum cha Msajili.
Haya ni maagizo toka juu.
Nawasilisha
Inadaiwa mikutano hiyo imekuwa ikihatarisha Amani ya Nchi na kuzoa wanachama wa vyama vingine.
Kwa mujibu wa mtoa Nyeti hizi, Msajili atawaita Makatibu Wakuu wote na kuwapa kitabu cha Kanuni ya Mikutano ambayo haitamruhusu mtu asiye wa Mkoa fulani kuvuka mkoa na kuhutubia Hadhara bila kibali maalum cha Msajili.
Haya ni maagizo toka juu.
Nawasilisha