josephkibena
Member
- Jul 14, 2009
- 16
- 1
Jamani naomba tuongelee hili la shule ya mama RWEKATARE kule Mbagala,mbona hakuna mikutano ya wazazi?,mwanae Rose ameanzisha duka pale na kuuza chocklate watoto wana shuka sana kielimu maana watoto muda wote wanafikiria ice cream na chocklate tu!.