MIKUTANO YA SHULE NA WAZAZI (St.MARY's International school)

josephkibena

Member
Jul 14, 2009
16
1
Jamani naomba tuongelee hili la shule ya mama RWEKATARE kule Mbagala,mbona hakuna mikutano ya wazazi?,mwanae Rose ameanzisha duka pale na kuuza chocklate watoto wana shuka sana kielimu maana watoto muda wote wanafikiria ice cream na chocklate tu!.
 
Back
Top Bottom