watu wa mbeya mmetutia moyo sanaa,,hongereni wakuu,
nilikuwa na mashaka kidogo hasa na watu wa mbalizi maana ndio ngome ya ccm
Tuache uongo wajameni, nguruwe ni mtamu sana! kama unakatazwa usile na wewe kwa ujinga wako na ushirikina wako unakubali hilo ni swala lako binafsi.Raizi wa walanguruwe tu,kwani Ikulu ni mahala patakatifu.
sema mkuu usimng'unye manenoMuda mwingi nafikiri ni sababu gani inafanya Chadema kuongezeka nguvu kwa kasi kiasai hiki? anyway siku moja nitapata jibu kamili lakini kwa mwendo huu ni hatari sana kwa CCM
Wakati mawaziri na wabunge wa ccm wakizomewa kwenye majimbo yao, Dr. Slaa anazidi kupata mapokezi makubwa sana kila anakokwenda.oaoa
Muda mwingi nafikiri ni sababu gani inafanya Chadema kuongezeka nguvu kwa kasi kiasai hiki? anyway siku moja nitapata jibu kamili lakini kwa mwendo huu ni hatari sana kwa CCM