only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Huu ni mkutano wa Mbalizi...na kulikuwa na mvua kubwa sana..still watu walikaa kumsikiliza Rais wao Dr W.Slaa!! kwangu mimi trend hii ya mikutano ya Mbeya inaonyesha jinsi ambavyo CDM ni tegemeo la kizazi hiki na kijacho...Nadhani uimarishaji huu wa chama uendelee kwa nguvu Tanzania kote..kuanzia Taifa mpaka level ya familia...
Thanx wana Mbeya kwa kutuunga mkono,nawahaidi hatutawaangusha kamwe!!!